Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Ukiacha huyu dogo tunayefahamina zaidi ya 20 fulani vile huyu dada namfahamu kama 13 iliyotulia na ninawafahamu na historia yao ndiyo maana walikubalinana kuniita huyu kama ni kupima tabia za mtu kwa macho namkatalia na yeye analalamika kuwa kizazi chake kiko karibu sana jamani niko njia panda naogopa kutoa ushauri mbovu kwao
Mwenzangu! Au ni wewe? Kila nkisoma naona kama vile wewe!