Nikisoma between lines napata kizunguzungu sana.
1. Huyu mwanamke ni kicheche sana miezi mitano tu tayari ushatoka nje ya ndoa ikiwa mwaka uko masomoni itakuwaje si ataigawa nchi nzima
2. Huyu mwanaume naye kicheche sana ugomvi wa watu wewe unasherekea
3. Washavunja amri ya sita "usizini" waendelee kuvunja na ile ya "usiue"
4. Huo ugomvi na mumewe amejua nini chanzo yaweza kuwa ni yeye mwanamke?
5. Suluhisho kaona kutoka nje ya ndoa?
6. Kukimbia tatizo si suluhisho kabiliana nalo mpaka mwisho
7. Alichokifata nje ndo kashakipata aombe mungu na UKIMWI awe hajaupata.
8. Pia kuna walakini na hiyo mimba inawezekana kabisa sio ya huyo mwanaume ni ya mtu mwingine nina wasiwasi na hili kwa upande wangu
Dermto nawasilisha Mkuu
Nimekusoma mama nitawatafuta leo jioni baada ya kukusanya michango ya wanajf ambayo mpaka sasa naona mwanga na msaada mkubwa wa ushauri ambapo nitaweza kuamua kesi hii kwa kuwatenga na kusikiliza mmoja mmoja na mapendekezo yao pia nina mpango wa kumtafuta rafiki yangu daktari nitaenda naye kama atakuwa na muda ili tupate nguvu za hoja zaidi kuwanusuru na uzembe na upumbafu huu
Ha ha ha hapo umeongea kweli kabisa Garma. Naaaasii
Ukweli ni kuwa huo ni mchemko na sijawahi kukutana kitu kama hiki kwenye vimeo nilivyowahi kusuluhisha siwezi kuwatupa
kama kondom ilitumika na bidada hajagawa nje.....basi walitumia kifutio kimoja......huu ni msala.......na kama hajakutana na mumewe miezi mitano hilo ni janga la taifa.....duh sasa huyu sijui tunamshaurije......mi naona suluhu ni moja tu....nitarudi baadae
Washatenda dhambi waendelee kutenda tu
Sio kwamba ukitenda dhambi inabidi kutubu na kuacha kabisa kutenda dhambi?
Ni kweli aidha kifutio kimoja kuonesha kuwa wanapendana sana au wakati wa kuvua hiyo kondom wale askari wa kijerumani walidondokea kwenye samosa ya huyo dada. Je, walifuata taratibu zote za kutumia kondom ikiwemo ile ya kuchomoa shaft mara tu baada ya ejaculation? Kama jamaa alikuwa anasikilizia maraha baada ya ejaculation na shaft kusinyaa kabisa ikiwa bado ndani ya cylinder basi ajue ni yeye. Pia inawezekana kwenye fore play walishikana shikana sehemu zao na kuhamisha chromosomes kwani kisayansi kuna mbegu huwa zipo mlangoni yaani kwenye tip ya shaft mara shaft inaposimama na kuweza kushikisha mimba mara zinapogusa samosa - sasa yawezekana migusano kama hiyo ilitokea. Au walipga 69 halafu tongue kiss halafu waka-rewind 69 mambo yakajipa kwa sababu ya wajerumani kuwa attentive hata kabla ya climax.
Ni kweli aidha kifutio kimoja kuonesha kuwa wanapendana sana au wakati wa kuvua hiyo kondom wale askari wa kijerumani walidondokea kwenye samosa ya huyo dada. Je, walifuata taratibu zote za kutumia kondom ikiwemo ile ya kuchomoa shaft mara tu baada ya ejaculation? Kama jamaa alikuwa anasikilizia maraha baada ya ejaculation na shaft kusinyaa kabisa ikiwa bado ndani ya cylinder basi ajue ni yeye. Pia inawezekana kwenye fore play walishikana shikana sehemu zao na kuhamisha chromosomes kwani kisayansi kuna mbegu huwa zipo mlangoni yaani kwenye tip ya shaft mara shaft inaposimama na kuweza kushikisha mimba mara zinapogusa samosa - sasa yawezekana migusano kama hiyo ilitokea. Au walipga 69 halafu tongue kiss halafu waka-rewind 69 mambo yakajipa kwa sababu ya wajerumani kuwa attentive hata kabla ya climax.
Thanx. Kwa uelewa wako mkubwa Haya yote niliuwaliza kiundani sana lakini mwanamke alikiri kuwa walizingatia yote kwa usalama wake zaidi ila hajui imetoka wapi.
Always tunaambiwa mtoto ni wa Mama. Akibanwa sawasawa atamtaja aliyempa mimba. Wanaume tusiwe wakali kwa kung'ang'ania watoto wasio tuhusu na kwa taarifa tu kule DNA inabidi kusimamia hasa maana kuna tetesi pesa hupitishwa ili kuhalarishwa.
hahahahaha! watu wengine bwana, nilikuwa nasikitika ikabidi nicheke kwanza!Mimba sometimes zinaingia kwa njia ya bluetooth
hahahahaha! watu wengine bwana, nilikuwa nasikitika ikabidi nicheke kwanza!
Mwanamke ameficha ukweli fulani, Unless kapata mimba kwa nguvu za Sheikh Yahaya na zingine zinazofanana na hizo. Waitoe tu hiyo mimba (Mauaji) halafu dogo aachane na huyo mwanamke. Kwanza alifanya kosa kubwa la kutembea na mke wa mtu, ni hatari sana.
wayoe mimba hiyo ili kunusuru ndoa zao wanasingizia imani za dini zao wakati tayari wameshavunja amri ya 6 ambayo ina nguvu sawa kabisa na amri ya usiue kwa hiyo naona kama dhambi tayari wanazo kisingizio cha imani sio issue tena. Hapo kama wakiacha hiyo mimba huyo mdada atatimuliwa na mume wake tena kwa kichapo maana hawana maelewano na huyo mkaka atakimbiwa na mkewe na bado dhambi ya uzinzi ina hukumu yake siku ya mwisho so kama kutoa watoe tu kuliko kutoitoa maana itakuwa msala mara mbili