Ana miaka 36 lakini nampenda sana

Ana miaka 36 lakini nampenda sana

Ndugu, Achana Kabisa na Huyo Mke Wa MTU.. Unajitafutia Matatizo.. Kwanza ni Dhambi Mbele za Mungu na ni Dhambi Mbele za Mume wake.. Kwaza Uzinzi sio kabisa. Kuna laana inayoambatana na Dhambi hyo. Pia Assume hyo ni Wife wako afu ukachapiwa!! Utajiskiaje? Achana na Huyo Mama badili Line ya simu ili asikupate.. Tulia piga kitabu.. Focus on priority Things abt U r Lyf.. Haya Mambo yapo tu.. Kwa Muda wako utapata wa Size yako.. Utaoa na wakati huo utakua umeshajiweka vizuri kimaisha. Najua ni ngumu kukubali hili coz umeshapenda lakin evryting in life z by Choice Ukiamua kufanya Maamuz Magumu UTAOKOKA. Stay Blessed
Huyu unadhani kapenda basi? Utoto tu unamsumbua, soma katikati ya mistari utaelewa nachokisema.
 
Nilikuwa siamini kuwa ukisoma mfululizo habari isiyo kuwa punctuated pumzi inakatika.Leo nimeamini!😀😀
 
Kijana kitambo kidogo tu utakuwa maiti inayotembea...

Mtoto wa kiume umetiwa mtegoni kama kicheche akamatavyo kuku...

Kabla ya kujiuliza maswali mengi zaidi yasiyo na majibu, fanya mpango wa kwenda kutazama afya yako...

Ila inasikitisha sana, mzazi unahangaika kusomesha toto kama hili, mwisho wa siku linarudi nyumbani linajinyea nyea na kuhara hovyo baada ya kuungwa gridi ya taifa...
 
Mi sielewagi kwa nini vijana wadogo huwa wakimuona mwanamke hata kama mwili na sura yake inaonesha ni mdogo wkachukua hatua ya kufahamiana na kuongea ukishajua amekuzidi umri sepaaaa kimbiaaaaaa. Utashangaa kijana ndo kwanza anataka kula denda na kupenyeza mikono katikati ya mapaja, na kutetema nashindwa kujizuia khaaaaaaa!!! kama unashindwa kujizuia mbona hujiharishiii!!!!!! Ningekuwa na uwezo ningewachapa vibao wanaume wote wanaotoka na kutembea na wanawake waliowazidi umri.
Hivo na wewe mtoa mada hata sikuelewi

Age is just a numbers only ,,,, I hope u do know what matters
 
Wanaume wanaoa wanakuwa busy kiasi ambacho wake zao wanakamata watoto wachepuke nao. Endeleeni kuwa busy wakati wake zenu wanagegedwa hadi na watoto.
 
Ukiona vijana wa kiume wanawaibukia wamama ujue chances zao kutoka na agemates wenzao wakike zimezibwa na vibabu vya 50's

So mnataka wanafanyaje .

Nyie kuleni mademu zao nao wale wake zenu yaani watasha wanasema" tit for tat is fair play.."

Thank u diamond platnumz for insiparation( tafakari)

Umri ni namba tu.Kama una dushe inasimamia show vizuri wee!! Kula mambo tu hata kwa kufunga macho .

Na aulizwe huyo mwanamke kwanini alitoa kitumbua kwa Yankee! Hahahahah

Ni mtazamo tu.
 
keypad yako haina herufi 's'...?ndo unajiita mwanachuo kweli?siku hizi naona imbeciles wamejazana vyuoni
 
Mi sielewagi kwa nini vijana wadogo huwa wakimuona mwanamke hata kama mwili na sura yake inaonesha ni mdogo wkachukua hatua ya kufahamiana na kuongea ukishajua amekuzidi umri sepaaaa kimbiaaaaaa. Utashangaa kijana ndo kwanza anataka kula denda na kupenyeza mikono katikati ya mapaja, na kutetema nashindwa kujizuia khaaaaaaa!!! kama unashindwa kujizuia mbona hujiharishiii!!!!!! Ningekuwa na uwezo ningewachapa vibao wanaume wote wanaotoka na kutembea na wanawake waliowazidi umri.
Hivo na wewe mtoa mada hata sikuelewi hataa..................!!!

Nikusaidie tu kidogo....

Men like experimenting. Na kuna wanawake watu wazima lakini ukiwaangalia moyo lazima ukwende mbio. Hivi unadhani ni vijana wangapi wa chuo watakataa wakipata nafasi kwa mwanamke kama Madam Ritha wa BSS?
 
mhhh bwana mdogo watafumua kabang yako utajutia tu... koma na shule bhana, kumbe ndo maana supp haziishi..
 
Hadithi hii inatufundisha tusikwepe majukumu yetu ya 6X6 kwa kusingizia vyeo...
eti kwa kuwa wewe meneja utegemee genye za mkeo zitamalizwa na pesa unayomkatia....
matokeo yake anatumia pesa yako kupata kipoozeo cha kando...

Huwa najiuliza wake za wanasiasa ambao kutwa wako field mfano hawa so called wapiga debe wa vyama ...wana maisha gani?
wana trade off pesa na familia
 
Back
Top Bottom