Habari za mwanzoni mwa wiki..
Nimekuwa nikifatilia jinsi mnavyochangia kuwashauri wale waliogubikwa na mambo ambayo kwa fikra zao hawawezi kutoa maamz sahih.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 niko mwaka wa pili ktk moja ya chuo kikuu kilichopo hapa jijini wakati niko kidato cha sita mwanzoni alitokea mwanamke aliyenipigia cm kumuuliza nani akaniambia amewrong number,sikufatilia nikawa nimepotezea lakn akawa ananipigia mara kwa mara akidai ananijulia hali lakin kadili alivyokuwa ananijulia hali mara kwa mara nikawa nimejikuta namzoea sana na mim nikawa nampigia cm lakin kumbuka alikuwq anadai kakosea namba kwa maana hiyo alikuwa hanijui kww maelezo yake hali kadhalika hata mm nikawa cmjui kwa maana cjawahi kumuona .
Kadil mda ulivozid kwenda tukawa tumezoeana xana hadi ikafikia cku moja hivi jion nilikuwa naongea nae akawa ameniuliza nikuite jina gani tofauti na jina lako halis?nikawa cjamuelewa lkn akawa amenieleza kuwa anamaanisha aniite jina gani litakalovumisha au kuongeza thaman ya urafiki wetu?kwa haraka ckuelewa alikuwa ameleng nin lkn upole nikawa nimemjibu kuwa lolote atakaloliona linafaa akawa ameniambia kuwa atafurahi sana endapo ataniita my only one nikamuuliza unamaanisha nn akaniambia ucjali najickia vzr tu nikikuita hilo jina na kadili mda ulivozid kwenda akawa anazid kuniambia maneno matamu bila kujijua nikajikuta nimeingia ktk dimbwi la mapenz na huyo mtu
Mda wote tulivokuwa tunawasiliana cikuwahi kumuuliza taarifa yoyote kuhusu yye ndo baada ya kuwa tuko kwenye mahusiano akawa ameniuluza kuwa unahis nina miaka mingap?kwa kweli kulingana na saut aluvokuwa akiilemba nilifikir ana miaka michache sana lkn nikawa nimemuambia ana miaka 30 akasema apana ana 34akaniambiavameolewa na ana mtot mmja sikushituka sana kwavile mwwnyew nilikuwa nimeshazama akawa ameniamn sana tukawa tumeoanga mambo meng likiwemo suara la kuzaa na mim bdae nilfungq nikawa nimerud nyumban nilifka kama leo ucku kutoka mkoan nilipokuwa nasomea kesho yake akawa ameniambia anahamu sana ya japo kuniona hata mim nilikuwa na ham ya kumuona tulipanga asubuh sehem ya kukutana kumbuka atujuani na kila mmoja anataman kuwa wa kwanza kumuona mwenzake akawa ameniona namim nikawa nimemuona lkn akawa na hofu sana kuwa bdo mdogo atukukaa xana nikawa nimerud nyumbn lkn alikuwa na umbo la kiutu uzma lkn kww kuwa nilikuwa nimempenda bila hata yakumuona nikawa nimekubaliana na hali lkn nakaahid nafs kuwa citokutana nae kimwil ilikuwa ni msimu wa ckukuu alijtahd sana kunishawish nikutane nae kwa mara ya pili ili angalau ata anikumbatie bdae nilikubalu lkn nikamuambia kuwa hamna ata kugusana alikubali shingo upande tulipokutana akannua kinywaj tukawa tunakunywa akaniauliza achukue chumba nikakataa nilkataa kata kata saanne tukawa tumeondoka cku nyingne akawa amenikamata tena kaniambia achukue chumba nikawa nimekubali akaniambia nikaulizie vyumba nikachukua kwa kweli nilchokipata ckuwah kukipata sehem nyngne yyote nilvutiwa san nikawa nimeomba na kesho akakataa kuwa atakuwa bizy nikarud xule nmeendlea kuwasiliana nae kila sku bdae nikaw nimemaliza nikarud home lkn mpaka leo hii nampenda nanamhitaji xana kias kwambcna hisia kwa vijan wa rika yangu lkn badae aliniambia kuwa ameolewa na mme wake ni meneja wa benk moj hpa lkn yuko bizy xan kias cha kuchukua hata miez sita had nane ajapata hak ya ndoa
NAOMBENI USHAURI WAPENDWA
SJIEKEWI NINAENDA WAP