KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,887
- 40,069
Wazazi wanajinyima ili vijana wapate elimu...taifa linabana bajeti na kuongeza kodi ili kubalance bajeti ya wizara ya elimu ili tu vijana wapate elimu....walalahoi tunabinywa kodi kila idara ili ipatikane hela ya kuwasomesha wataalamu hatimaye waje walitumikie taifa...
Lakini bahati mbaya watu au vijana wanaohangaikiwa wala hawana mawazo ya kusoma zaidi ya kuwaza ngono tu wawapo shuleni..
Kitu ninachokukumbusha kijana ni kwamba nafsai uliyoipata ni moja kati ya nafasi adimu ambazo mamilioni ya vijana wenzako wameikosa hali ya kuwa wanaitaka....unatakiwa uitumie hiyo nafasi ipasavyo kwani huwa hazijirudii maishani na waliozichezea wote wanajuta sasa hivi......
TAKE CARE YOUNG BOY...
Lakini bahati mbaya watu au vijana wanaohangaikiwa wala hawana mawazo ya kusoma zaidi ya kuwaza ngono tu wawapo shuleni..
Kitu ninachokukumbusha kijana ni kwamba nafsai uliyoipata ni moja kati ya nafasi adimu ambazo mamilioni ya vijana wenzako wameikosa hali ya kuwa wanaitaka....unatakiwa uitumie hiyo nafasi ipasavyo kwani huwa hazijirudii maishani na waliozichezea wote wanajuta sasa hivi......
TAKE CARE YOUNG BOY...