Chacharika
Member
- Nov 6, 2010
- 51
- 13
Jamaa mmoja huko Lamu Kenya alikuwa akisafiri na familia yake na abiria wengine kwa mashua wamenusurika kuzama ndipo Bwana alipoogelea na kumwokoa mkewe na kuacha wanawe. but kajieleza alipokuwa akihojiwa kuwa wasamaria wema wamewaokoa so wote wamesalimika.
my note-kumbe ule msemo wa wahenga wetu unafanya kazi kuwa ktk hatari umwokoe nani, mtoto au mke.
Source: ITV habari za Afrika mashariki.
my note-kumbe ule msemo wa wahenga wetu unafanya kazi kuwa ktk hatari umwokoe nani, mtoto au mke.
Source: ITV habari za Afrika mashariki.