Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Nishemeji yake, toka nitoke na mkewe, lakini jamaa alipata ujasiri wa kumtongoza nakutoka nae kinyumba.
Tena chakusikitisha ni mtoto wa miaka 14 tu.
Ilipokuja kugundulika kua mtoto anaujauzito jamaa ikabidi amlazimishe mkewe wamrudishe kwa wazazi wake, kwakua mkewe hakuna anajua kinacho endelea akakubali wazo la mumewe na ukizingatia binti hakua anasoma. Alipofika kwao ndipo ikagundulika kua binti ni mjamzito.
Wazazi walijitahidi kumbana amtaje nani aliemtia ujauzito ule, binti alikataa lakini mwisho wa picha mtoto akamtaja kua ni shemeji yake.
Alipoambiwa dada mtu, ugomvi ukawa mkubwa bainayake na mumuwe jambo lililo sababisha kuvunjika kwa ndoa yao na mwanamke kurudi kwa wazazi wake.
Mimba ilipo kua tayari imetia mudawake tayari wazazi walimpeleka Hospital, ndipo binti wawatu alipo poteza maisha, sababu hakuwa na uwezo wa kuzaa inasemekana njia yake ya uzazi ilikua ndogo sana. Mungu amuweke mahala pema binti yule na amlaani jamaa yule.
Naiwe fundisho kwa sisi mababa tunaopenda kuwafanya watoto wadogo tena bila kuzingatia ni nani ktk família zetu.
Nanyinyi akina mama munaopenda kuchukua wadogo / watoto wenu waliokua tayari washaiva kuwapeleka mulipo olewa.
Mwisho kabisa, DUNIA NI TAMU ILA TUOIHARIBU NISISI WENYEWE WANADAMU.
Tena chakusikitisha ni mtoto wa miaka 14 tu.
Ilipokuja kugundulika kua mtoto anaujauzito jamaa ikabidi amlazimishe mkewe wamrudishe kwa wazazi wake, kwakua mkewe hakuna anajua kinacho endelea akakubali wazo la mumewe na ukizingatia binti hakua anasoma. Alipofika kwao ndipo ikagundulika kua binti ni mjamzito.
Wazazi walijitahidi kumbana amtaje nani aliemtia ujauzito ule, binti alikataa lakini mwisho wa picha mtoto akamtaja kua ni shemeji yake.
Alipoambiwa dada mtu, ugomvi ukawa mkubwa bainayake na mumuwe jambo lililo sababisha kuvunjika kwa ndoa yao na mwanamke kurudi kwa wazazi wake.
Mimba ilipo kua tayari imetia mudawake tayari wazazi walimpeleka Hospital, ndipo binti wawatu alipo poteza maisha, sababu hakuwa na uwezo wa kuzaa inasemekana njia yake ya uzazi ilikua ndogo sana. Mungu amuweke mahala pema binti yule na amlaani jamaa yule.
Naiwe fundisho kwa sisi mababa tunaopenda kuwafanya watoto wadogo tena bila kuzingatia ni nani ktk família zetu.
Nanyinyi akina mama munaopenda kuchukua wadogo / watoto wenu waliokua tayari washaiva kuwapeleka mulipo olewa.
Mwisho kabisa, DUNIA NI TAMU ILA TUOIHARIBU NISISI WENYEWE WANADAMU.