Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
- Thread starter
- #21
Ally bananga alikuwa muheza kujenga cdm 08/5/15 muheza ni tanga
Ukawa wengi misukule..fuata upepo. Wanaofaidika ni mbowe.slaa..lipumba na mbatia
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania
mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata
lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho
Asante sana KamandaMolemo,Standalone,Crashwise na wewe Mkuu CK tunatakia afya njema mzidi kutupa mavitu
Kiongozi asante kwa Maoni yako lakini nikujulishe tuu kwenye mkakati wa Ukawa huu ni mwaka wakushika dollarKijeba1:
Ni ushauri wetu kuwa ziara hiyo iwe ya kimkakati zaidi. Iwe na yenye lengo la kutoa tija(quality) na sio kupata watu wengi wa kuhutubia. UCHAGUZI NI NUMBER. Muda huu si wa kutafuta hadhira kubwa ya kuhutubia. Huko mikoani nendeni vijijini kabisa. Heri mkutano uhutubie watu miambili kijijini ambao utakuwa umewaachia mbegu ya mabadiliko kuliko kuhuhutubia watu maelefu ambao walishapokea mabadiko siku nyingi. Acheni kuremba! Wenzenu CCM wako wanatengeneza software ya matokeo kwenye koti la NEC.
Hakikisheni zoezi la kujiandikisha litakapomalizika angalau muwe mnajua idadi ya wenu waliojiandikisha nchi nzima. Hii itawafanya mfanye prediction ya matokeo.
ukawa wengi misukule..fuata upepo. Wanaofaidika ni mbowe.slaa..lipumba na mbatia
Mnaenda kuua kwa tindikali na sumu