Amsha amsha ya UKAWA nchi nzima kuanza Jumatano 12/05/15

Amsha amsha ya UKAWA nchi nzima kuanza Jumatano 12/05/15

Kicheba One

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
399
Reaction score
194
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania

mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata

lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho
 
Huku mbatia na nassari,kule mdee na machali,prof lipumba nanyika ,prof j na wenje
 
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania

mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata

lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho


RESPECT.jpg
 
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania

mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata

lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho

Naona kuna ruzuku za kujilipa huko . Hivi inakuaje mnarudia rudia huko kanda ya ziwa wakati kuna mikoa Kama tanga haijaguswa kabisa mbowe, mnyika a lema .
 
Magamba yakichungulia huu uzi yanarudi kuomba msaada wa komputa Lumumba ili yaongeze nguvu. Shame on you magambazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom