Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania
mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata
lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho
mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata
lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura bila kusubiri siku yawisho