zakayoyoung
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 140
- 38
Nataka nifaham jinsi ya kuziunganisha ic mbili za tda moja itumike kama woofer nyingine itumiKe kama tuita wakuu nisaidieni wajuzi
Umejaribu google ukakosa chochote?Wakuu kimya sana
Nimeangalia Google lakini sircuit zote ni ndogo ni za IC mojamoja tuUmejaribu google ukakosa chochote?
Nimeshaipata brother na tiyari nimeshaiunga inatoa output watt 60 nimetumia IC tatu mkuuGoogle hukosi kitu mkuu. Tulia tafuta vizuri.
Ukikosa jaribu na yahoo
Nimeshaipata brother na tiyari nimeshaiunga inatoa output watt 60 nimetumia IC tatu mkuu
Afu ndo nataka nikainunulie audio resive ya Bluetooth ase sijui shi ngapi ase hebu nambie
Aaa hapo sawa mkuu ila nimemcheki transistor ase hyu jamaa sijui anakuaga online mida gani aseNitakudanganya me sina utaalamu na mambo hayo mkuu.
Acha utani wewe si hatumaanishi hivoNgoja Millard Ayo Na Meena Ally Waje
Sasa amp ya tda 2030 ya kazi gani tengeneza ya transistorNataka nifaham jinsi ya kuziunganisha ic mbili za tda moja itumike kama woofer nyingine itumiKe kama tuita wakuu nisaidieni wajuziView attachment 1089918View attachment 1089919
Angalia aliexpress hope utapata ningekuwa na idea na unachokifanya ningejua ni kipi ila ubaya sina idea na hizo mambo hivo ukacheck mwenyewe tu.Nimeshaipata brother na tiyari nimeshaiunga inatoa output watt 60 nimetumia IC tatu mkuu
Afu ndo nataka nikainunulie audio resive ya Bluetooth ase sijui shi ngapi ase hebu nambie
Nitumie transistor za aina gani mkuuSasa amp ya tda 2030 ya kazi gani tengeneza ya transistor
Mkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadhaNitumie transistor za aina gani mkuu
😂 😂 😂 😂Mkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadha
Wale achana nao si tuangalie feature zetu mkuuMkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadha
Hongera kuwa na moyo wa kutaka kujifunza Mkuu.Nitumie transistor za aina gani mkuu