Amplifier wataalam nisaidieni

Amplifier wataalam nisaidieni

Pamoja Mkuu.
Niliwahi kujifunza na kufanya kidogo miaka iliyopita, kwa sasa sifanyi.
 
Pia nataka nikuulize mbona hio sircuit ulonitumia ni inatumia transistor za tofauti tofauti je kwa mfano nikitumia za aina moja katika hio sakti natafanikiwa kweli au la! Mkuu
 
Pia nataka nikuulize mbona hio sircuit ulonitumia ni inatumia transistor za tofauti tofauti je kwa mfano nikitumia za aina moja katika hio sakti natafanikiwa kweli au la! Mkuu
Circuit inatumia output stage transistors za aina tofauti kukamilisha mfumo uitwao "Complementary pair" ya push-pull amp. Ni rahisi sana ukiielewa. Wakati nusu ya amp inayotumia transistor za NPN inapokuwa ON kwenye half-cycle ya sound wave, nusu nyingine ya amp itumiayo transistor za PNP inakuwa iko OFF, baadaye zinabadilishana; iliyokuwa ON inakuwa OFF ana iliyokuwa OFF inakuwa ON, ndo maana ya push-pull.
Lakini pia waweza kutumia transistor za kufanana kwa kufanya mabadiliko kidogo kwenye circuit iliyotangulia kwa kubadili position ya R11, R13,Q5 na Q7, pia kubadili Q7 iwe NPN badala ya PNP, ili kupata circuit iliyo kwenye attachment hapo chini:
Angalizo: R10 na R11 ziwe 0.5W
 

Attachments

Circuit inatumia output stage transistors za aina tofauti kukamilisha mfumo uitwao "Complementary pair" ya push-pull amp. Ni rahisi sana ukiielewa. Wakati nusu ya amp inayotumia transistor za NPN inapokuwa ON kwenye half-cycle ya sound wave, nusu nyingine ya amp itumiayo transistor za PNP inakuwa iko OFF, baadaye zinabadilishana; iliyokuwa ON inakuwa OFF ana iliyokuwa OFF inakuwa ON, ndo maana ya push-pull.
Lakini pia waweza kutumia transistor za kufanana kwa kufanya mabadiliko kidogo kwenye circuit iliyotangulia kwa kubadili position ya R11, R13,Q5 na Q7, pia kubadili Q7 iwe NPN badala ya PNP, ili kupata circuit iliyo kwenye attachment hapo chini:
Angalizo: R10 na R11 ziwe 0.5W
Asante sana mkuu ningependa unisaidie nambaako ya WhatsApp ili ujijuze vizuri maana NPN na PNP bado zinanichanganya mkuu .
 
Asante sana mkuu ningependa unisaidie nambaako ya WhatsApp ili ujijuze vizuri maana NPN na PNP bado zinanichanganya mkuu .
Inabidi uache kwanza kuunda amplifier, usome kwanza basics za electronic components ndo uje uendelee na uundaji wa amplifier, la sivyo, utauona uundaji kuwa mgumu. Tutorials ziko nyingi on-line.
Tafuta kitabu hiki: Electronic Devices and Circuit Theory ed11th by Robert L. Boylestad
 
Inabidi uache kwanza kuunda amplifier, usome kwanza basics za electronic components ndo uje uendelee na uundaji wa amplifier, la sivyo, utauona uundaji kuwa mgumu. Tutorials ziko nyingi on-line
Ase shule za etectranic kwa huku kwetu singida sizani mkuu..ila m naimani mwepesi wa kuelewa maana hivi vitu nimeanza tangu 2013 japokua sijasomea ila components nyingi nazifahamu pia nafahamu namna ya kuuisoma mchoto ya sircuit za amplifier ila kinachonitatizaga na ndicho kinachonifanya nikazanie sana ic za tda ni kwa sababu transistor bado sizijui zile NPN na PNP ila na imani nikizifahamu vizuri itakua vizuri sana
Kwahiyo kama kuna uwezekano hata kwa WhatsApp waweza ukawa unanifundisha ukipata mdaa nami niwe hata nakulipa mkuu kwa makubaliano maalumu au unaonaje mkuu
 
Ase shule za etectranic kwa huku kwetu singida sizani mkuu..ila m naimani mwepesi wa kuelewa maana hivi vitu nimeanza tangu 2013 japokua sijasomea ila components nyingi nazifahamu pia nafahamu namna ya kuuisoma mchoto ya sircuit za amplifier ila kinachonitatizaga na ndicho kinachonifanya nikazanie sana ic za tda ni kwa sababu transistor bado sizijui zile NPN na PNP ila na imani nikizifahamu vizuri itakua vizuri sana
Kwahiyo kama kuna uwezekano hata kwa WhatsApp waweza ukawa unanifundisha ukipata mdaa nami niwe hata nakulipa mkuu kwa makubaliano maalumu au unaonaje mkuu
Hongera sana Mkuu kwa juhudi unazoonyesha kujifunza electronics, ndo maana nimeamua kukuwekea mchoro ambao ni rahisi. Hakuna haja ya kwenda shule kusoma electronics, ila soma tutorials na vitabu vya electronics tu utapata mwanga. Suala la kukufundisha kwa whatsapp tatizo ni muda, leo nimepata muda kidogo baada kukaa idle kwa siku nzima.
 
Hongera sana Mkuu kwa juhudi unazoonyesha kujifunza electronics, ndo maana nimeamua kukuwekea mchoro ambao ni rahisi. Suala la kukufundisha kwa whatsapp tatizo ni muda, leo nimepata muda kidogo baada kukaa idle kwa siku nzima.
La! Yani haya yote sababu naipenda sana electronic ya mambo kama haya na na imani nikizijua namna ya kuzisoma hizi transistor yan amplifier nitakua tiyari maana ndoto yangu ilikua nitengeneze amplifier baada ya hapo nitengeneze na ile audio system yenye fm na mp3 player ili kukamilisha kabisa ani

Ila mi bado nakuomba hala uwe unanifundisha kwa masaa japo ma Wili kwa siku nitakua makini mkuu nisaidie
 
La! Yani haya yote sababu naipenda sana electronic ya mambo kama haya na na imani nikizijua namna ya kuzisoma hizi transistor yan amplifier nitakua tiyari maana ndoto yangu ilikua nitengeneze amplifier baada ya hapo nitengeneze na ile audio system yenye fm na mp3 player ili kukamilisha kabisa ani

Ila mi bado nakuomba hala uwe unanifundisha kwa masaa japo ma Wili kwa siku nitakua makini mkuu nisaidie
Kwa upande wa mafunzo, wasiliana na Transistor
 
Hongera kuwa na moyo wa kutaka kujifunza Mkuu.
Kwa kuanzia, jaribu hii:
Hongera sana hii circuit nilisha wahi kuijenga japo ni zamani sana na mm pia ni mdau wa electronic engineering japo nilibadili na kuingia Finance
Siku hizi ni rahisi sana kwa project kama hizi. almost kila kitu kimerahisishwa na kinapatikana japo ni ngumu sana kutengeneza pesa, Fatilia hizo link hapo chini naamin utafuahia :


 
Hongera sana hii circuit nilisha wahi kuijenga japo ni zamani sana na mm pia ni mdau wa electronic engineering japo nilibadili na kuingia Finance
Siku hizi ni rahisi sana kwa project kama hizi. almost kila kitu kimerahisishwa na kinapatikana japo ni ngumu sana kutengeneza pesa, Fatilia hizo link hapo chini naamin utafuahia :


Asante sana bn silicon valley..
Nimejifunza vingi kupitia link hizo
Vp we kwa sasa unafanya hizi kazi au la?
 
Nimeshaipata brother na tiyari nimeshaiunga inatoa output watt 60 nimetumia IC tatu mkuu


Afu ndo nataka nikainunulie audio resive ya Bluetooth ase sijui shi ngapi ase hebu nambie


umebridge au ...watts 60 kwa channel moja au channel ngap
 
Back
Top Bottom