mwaka mtavaa mpaka magunia.
Pia hata wakiamua kunywa piwa au kuvuta bangi kama kule Igunga walivyofanya nape na Kinana pia makamanda wameaniahidi hawatetereki ni elimu dunia(elimu ya Uraia) kwa kwenda mbele!hata wakibeba ndoo ya maji kichwani hatundanganyiki
Hata angetembea na baiskeli mwaka huu ubunge asahau kabisa
Unapungiwa mkono na wagombea hata kama hakujuiHahahaaa, uchaguzi bwana raha sana....
Unapungiwa mkono na wagombea hata kama hakujui
CCM na boda boda ? Haya ameanza lini ? Mbona kachelewa sana ? He only posed for the photo nothing much .
huu mwaka wao huu .. hata akitembelea boxer
kweli kabisa yawezekana alikuwa anaenda kulogaHahaha, leo umenishekesha sana Hawa ndiyo wanaotoa uhai Wa ndugu zetu Albino yaani wako tayari kufanya chochote kulinda ubunge wao...