Amos Makala akipiga kazi na bodaboda

Amos Makala akipiga kazi na bodaboda

utakuwa ni wewe makala umejipiga picha na kuleta hapa jf kifupi hata upande nyani bado raia hawana imani na nyie magamba saiv mnakazi kubwa hiyo janja tu ili uonekane uko pamoja nao kumbe chenga tu unasaka kura ukipita kurudi tena hadi 2019.

Hapati kitu kama ni zao la nyinyiem
 
yaani inaonesha kwamba jimboni kwake barabara hakuna ndio maana anapita porini kwa bodaboda mivx haipiti huko

Kadata kwani elimu ya uraia isha waingia wengi.
 
mbunge wa mvomero, mh. Amos makalla akitumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake.
Unazungumziaje harakati hizi za wabunge kipindi hiki tukielekea kwenye uchaguzi mkuu?



mwaka huu hafurukuti mbele ya kijana wa chadema matokeo oden.last time matokeo alishinda lakini wakachakachua.wananchi washamchoka sana tu..
 
utakuwa ni wewe makala umejipiga picha na kuleta hapa jf kifupi hata upande nyani bado raia hawana imani na nyie magamba saiv mnakazi kubwa hiyo janja tu ili uonekane uko pamoja nao kumbe chenga tu unasaka kura ukipita kurudi tena hadi 2019.
huyu bwana namkumbuka 2010 alikuwa na stail ya kupiga magoti kunako kampeni! Duh kwa mtaji huu sijui alibino wataponea wapi!!!
 
boya wa mvomero..........muulizeni huyo boya kama alishawahi kufika mongwe, yowe, omboza chowelo n a maeneo ya jirani na hayo..........matokeo owden is still aive makala tafuta chaka mapema chadema tunakuja
 
Mbunge wa mvomero, Mh. Amos Makalla akitumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake.
Unazungumziaje harakati hizi za wabunge kipindi hiki tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu?






Hili ni wazo zuri sana. Bunge lijalo waachane na mashangingi wabunge wote wapewe bodaboda tatu tatu tupunguze gharama
 
du inaonyesha jamaa hajafanya kitu kabisa maana hadi barabara huko hakuna ndio maana wanapita polini, watu hawavai hata viatusi unaona deleva wake kavaa ndala na hawajali usalama wao ndion maana hawavai helmet.
 
Amos makalla jembeee jamaa anakubalika sana. Mimi natoka madizini huyu jamaa mtu wa watu sana kachangia na kufika ktika vijiji vyote 130 rekodi hii hatujawahi kuiona. Miaka mitano huwezi kufanya kila kitu ila bora anavyowafikia wananchi ht kwa bodaboda. Mafunzo ya bodaboda kagharamia yeye na hao madereva ni matunda yake. Marcos wala matokeo hawamuwezi jamaa yuko vizuri. Marcos mwaka 2010 kura za maoni kati ya watu 7 alikuwa wa tano kura 70 halafu alishakuwa mtumishi wa mvomero akala hela ya kifuko na kwenye taasisi ya kilonsi kala hela kafukuzwa ndiyo kaingia chadema. Matokeo ndiyo kabisa hamuezi aliweka ndani wizi wa computer kiwanda cha mtibwa. Jamaa ataeashinda vibaya
 
mwaka huu tutasikia mengi watatembea mpaka na mikokoteni
 
Hajafanya kazi yoyote jimboni. Hapo ujue Barabara hamna na hizo chache hazipitiki. Hiyo sio sifa kupanda bodaboda ni hasara. Mleta picha umemwangusha.
 
Mwaka wa uchaguzi tutaona na kusikia mengi sana.
 
Hakika muda wa kuhadaa wananchi umefika....
 
Back
Top Bottom