Amkeni, amkeni wamekuja tena. INFINIX HOT 10T. Imekuwa launched

Kuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.

48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah

Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
Imepanda hivo
 
Kuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.

48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah

Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
Hot 10 plus.Battery 6000MaH
 
Kuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.

48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah

Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
Achana na hiyo hebu tafuta infinix note 8i kisha rudi tena hapa.
 
ila kwenye chaji hawa ki kiboko ...kwa siku utachaji mara moja tu kama simu yako ipo busy online muda wote ila kama sio mtu wa online sana simu inaweza ikae mwezi mzma na chaji hiyo hiyo
 
We unatafuta computer, sio simu!!!
Hii hapa Mpwa

Screenshot_20210510-221233.png
 
ila kwenye chaji hawa ki kiboko ...kwa siku utachaji mara moja tu kama simu yako ipo busy online muda wote ila kama sio mtu wa online sana simu inaweza ikae mwezi mzma na chaji hiyo hiyo
Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!

Sony tu ndio aliwezaga optimization mapema ndio akawafungua akili akina Apple na Samsung ila still bado taji liko kwa mchina!

Huawei, Oppo, Xiaomi, Vivo, Tecno, Infinix wana akili nyingi kuwazidi hao giants kwenye uundaji na optimization ya battery!
 
Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!

Sony tu ndio aliwezaga optimization mapema ndio akawafungua akili akina Apple na Samsung ila still bado taji liko kwa mchina!

Huawei, Oppo, Xiaomi, Vivo, Tecno, Infinix wana akili nyingi kuwazidi hao giants kwenye uundaji na optimization ya battery!
Eti tecno and sons 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!

Sony tu ndio aliwezaga optimization mapema ndio akawafungua akili akina Apple na Samsung ila still bado taji liko kwa mchina!

Huawei, Oppo, Xiaomi, Vivo, Tecno, Infinix wana akili nyingi kuwazidi hao giants kwenye uundaji na optimization ya battery!
mchawi ni kioo na prossesor.

hapo ndio kuna uamuzi charge ikae muda gani kwenye simu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom