YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,938
Eti ucheke mleta mada akili huna
Kwa kodi zipo unazolipa hadi kuwa na Flyover kibao
Nyie Chadema hsta makao.makuu yenu ya chumba kimoja tu kisicho hata na choo wala umeme hamjajenga mnapanga
Kuongelea Flyover sio saizi yenu
Unakaa kijumba cha kupanga hata chumba cha kwako kimoja huna halafu unakomaa Flyover zinazomilikiwa na Serikali wakati wewe hata chumba kimoja ulichojenga kama makao makuu ya Chadema huna
Mama Samia kuanzia leo usikubali kukosolewa na Chadema ni kundi la wajinga fulani
Kwa kodi zipo unazolipa hadi kuwa na Flyover kibao
Nyie Chadema hsta makao.makuu yenu ya chumba kimoja tu kisicho hata na choo wala umeme hamjajenga mnapanga
Kuongelea Flyover sio saizi yenu
Unakaa kijumba cha kupanga hata chumba cha kwako kimoja huna halafu unakomaa Flyover zinazomilikiwa na Serikali wakati wewe hata chumba kimoja ulichojenga kama makao makuu ya Chadema huna
Mama Samia kuanzia leo usikubali kukosolewa na Chadema ni kundi la wajinga fulani