Amini usiamini: Mwanamke ana umuhimu

Amini usiamini: Mwanamke ana umuhimu

Dopas

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2010
Posts
1,151
Reaction score
392
Wana Jamii Forums labda nianze na usemi wa kizungu.

Behind every success there is a woman, and behind every failure there is a woman.Ni kwamba ukitaka kufanikiwa katika jambo lolote mtumie mwanamke, pia wapinzani wako wakimtumia mwanamke katika jambo lolote la kukuangusha lazima utaanguka.

Kwa kifupi kwangu usemi huu umetimia. Wewe ambaye labda bado unaona nyota nyota. Ndio maana nasema amini usiamini mwanamke ni muhimu,hutaki.
 
Itakuwa jambo jema wakijitokeza wa KE kuchangia jambo hili, je ni kweli wana umuhimu wa pekee katika mafanikio ya mwanaume, au hata katika kuanguka kwa mwanaume?
 
Ni Kweli ana umuhimu mkubwa katika maisha,maana bila yeye tusingezaliwa
 
kama ilivyo kwa utatu mtakatifu wa Mungu(MUngu baba,mwana na Roho mtakatifu);wa shetan ni pesa,madaraka na mwanamke
 
Aminiusiamini ,siamini kama. niweweee. unajua. Hilileoo??
 
Aminiusiaminisiamini kamaniweweeeunajua. Hilileoo??
Samahani mkuu, hii ni staili yako au tatizo la kifaa hakina kitufe cha space. Narudia tena samahani km nitakukwaza.
 
I believe that, no man without woman and no woman without a man. They depend each other
 
Samahani mkuu, hii ni staili yako au tatizo la kifaa hakina kitufe cha space. Narudia tena samahani km nitakukwaza.

Huyo Pdidy we muonage hivyo hivyo.......usifikiri hajui afanyalo..........anaandika vizuri sana ni basi tu..........
 
Last edited by a moderator:
Itakuwa jambo jema wakijitokeza wa KE kuchangia jambo hili, je ni kweli wana umuhimu wa pekee katika mafanikio ya mwanaume, au hata katika kuanguka kwa mwanaume?

Inategemea na mwanamke.......kama ni mgando........mara nyingi na mwanaume anakuwa mgando japo si wote.........ila kama ni smart.........matokeo yanajieleza.......
ki ukweli tunaplay part kubwa sana ya maisha ya wanaume........mfano mdogo tu ni mama akifa watoto bado wadogo.......baba lazima aweweseke........japo pia si wote lakini asilimia kubwa...........
 
Inategemea na mwanamke.......kama ni mgando........mara nyingi na mwanaume anakuwa mgando japo si wote.........ila kama ni smart.........matokeo yanajieleza.......
ki ukweli tunaplay part kubwa sana ya maisha ya wanaume........mfano mdogo tu ni mama akifa watoto bado wadogo.......baba lazima aweweseke........japo pia si wote lakini asilimia kubwa...........
Asante Preta kwa kujitokeza, nikiona mwanaume anapinga hili ... hasa la kufiwa na mke.. afu ugumu wa kuwapa malezi watoto pekee yake nitampongeza. Amini usiamini bila mwanamke familia sio familia. Mwanamke ni yote katika familia,
 
Back
Top Bottom