Amini usiamini: Mwanamke ana umuhimu

Amini usiamini: Mwanamke ana umuhimu

Mwanamke anamchango mzuri mfano familia anaweza kukushauri maendeleo
 
Kweli wavumilivu sana muone huyu mwenzao sikupata jina lake mara moja ila yupo hapa JF
 

Attachments

  • 1421967051833.jpg
    1421967051833.jpg
    22.4 KB · Views: 186
ikiwa hivi mkuu ingependeza zaidi samahani kwa editing.
Behind every strong success there is a bright woman, and behind every failure there is a kilaza woman.
ukitaka kufanikiwa jambo lolote mtumie mwanamke mwenye akili, ukitaka kufeli jambo lolote mtumie mwanamke kilaza lazima utaanguka tuuu. phuuuuuuuuuh

Mpaka unamtumia mwanamke kilaza bila shaka wewe utakuwa mwanaume kilaza squared kwa kushindwa kutofautisha kilaza na mwenye mantle!
 
Ndugu yangu nakubaliana na wewe kwa strong woman, ila kilaza woman sikubaliani nawe, kwani kilaza woman, kama yupo huwezi fanya naye mpango wowote, kwahi hiyo hatakuwa athari kwako. Ila ufahamu mwanamke awe kilaza kiasi gani atakulelea watoto TAIFA LA KESHO. Chezee wanawake uone. Wanaume ndo basi, tuna sehemu yetu lakini...

Point!
 
WanaJF labda nianze na usemi wa kizungu: Behind every success there is a woman, and behind every failure there is a woman.
Ni kwamba ukitaka kufanikiwa katika jambo lolote mtumie mwanamke, pia wapinzani wako wakimtumia mwanamke katika jambo lolote la kukuangusha lazima utaanguka.
Kwa kifupi kwangu usemi huu umetimia. Wewe ambaye labda bado unaona nyota nyota: ndo maana nasema amini usiamini mwanamke ni muhimu. Hutaki???

Kweli tupu isiyo na shaka, tuliishi Bustani ya Eden kwa raha mstarehe nyoka akamtumia mwanamke Eva au Hawa tukamuudhi Mwenyezi Mungu, akatutimua.
 
Umuhimu upo sana tu, mfano mwanamke ni mzuri sana katika bajeti kuliko mwanaume, yuko tayari kucheza mchezo kwa ajili ya kuleta kitu ndani ya nyumba au kudunduliza hela kidogo kidogo kutokana na kazi anayofanya na mwisho wa siku anachangia kitu ndani ya nyumba. Mhimu wanaume tuache wake zetu wafanye kazi, tusitawaliwe na wivu wa kijinga.
 
Back
Top Bottom