Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,021
- 132,762
Huu ndio ukweli wa mambo, tuliwaeleza watu humu wanaosubiri CCM ianguke ni sawa na fisi wanapomuona binadamu anatembea huku akitupa mikono,, fisi wanadhani, imevunjika na inaninginia hivyo wanafualia kwa nyuma taratibu wakisubiria ikatike.CCM ni kama maji kwa nyakati hizi na kwa miaka mingi ijayo. Kusema CCM itaanguka ni sawa na kusema...kuanzia sasa mito, maziwa, mvua, visima, chemichemi, mabwawa, bahari n.k. vitapotea, siyo kukauka, vitapotea ! Sasa nini kitabaki hapo hivyo vyanzo vyote vya maji vikipotea? Kwa kifupi, yawezekana haujui nini maana ya CCM yaani haujui msingi wa uwepo wa CCM hapa nchini kama chama cha siasa na kwa sasa kinaongoza awamu ya tano ya serikali yetu ya Watanzania. Nakushauri katafute ufahamu wa msingi wa uwepo wa CCM.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. - JamiiForums
P