Amini usiamini, anguko la CCM laja. Ni 2020...

Amini usiamini, anguko la CCM laja. Ni 2020...

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
4,512
Reaction score
4,710
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa suala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili.

Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe.

Inasekana ajenda kubwa ya kundi hili itakuwa KATIBA MPYA NA UTAWALA SHERIA, NA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU.

Tusubiri muda ni rafiki wa kweli 2020 sio mbali panapo uhai tutakumbushana

Pia soma: Political Intelligence: CCM kuweni macho, lijalo laja by Msanii
 
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa swala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili. Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe ova.
Watakuwa na hamu hiyo lakini hawataweza. Walishindwa wakati wa Lowassa watawezaje sasa? Yalishakuja yakapita, kuanzia CCJ ya kina late Sitta na Nape “Mnauye”

Ndo ujuwe jina fisiem lilipoanzia, tamaa bin tamaa! Ingekuwa uzalendo wa kweli, chama kingeshameguka kitambo kama alivyotabiri mwanzilishi wake. Ingredient ya uzalendo aliyodhania itakuwepo, haipo!
 
CCM ni kama maji kwa nyakati hizi na kwa miaka mingi ijayo. Kusema CCM itaanguka ni sawa na kusema...kuanzia sasa mito, maziwa, mvua, visima, chemichemi, mabwawa, bahari n.k. vitapotea, siyo kukauka, vitapotea ! Sasa nini kitabaki hapo hivyo vyanzo vyote vya maji vikipotea? Kwa kifupi, yawezekana haujui nini maana ya CCM yaani haujui msingi wa uwepo wa CCM hapa nchini kama chama cha siasa na kwa sasa kinaongoza awamu ya tano ya serikali yetu ya Watanzania. Nakushauri katafute ufahamu wa msingi wa uwepo wa CCM.
 
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa swala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili. Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe. inasekana ajenda kubwa ya kundi hili itakuwa KATIBA MPYA NA UTAWALA SHERIA, NA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU.
Japo Mie siipendi CCM lkn ukweli ni huu.CCM Wala haitagawanyika 2020
 
Watakuwa na hamu hiyo lakini hawataweza. Walishindwa wakati wa Lowassa watawezaje sasa? Yalishakuja yakapita, kuanzia CCJ ya kina late Sitta na Nape “Mnauye”

Ndo ujuwe jina fisiem lilipoanzia, tamaa bin tamaa! Ingekuwa uzalendo wa kweli, chama kingeshameguka kitambo kama alivyotabiri mwanzilishi wake. Ingredient ya uzalendo aliyodhania itakuwepo, haipo!
Hakuna mbabe CCM kama Lowassa alishindwa tena Kwa Mkwere,sioni kule waliobaki mwenye uwezo wa kufurukuta mbele ya jiwe,sanasana kuna watu watafyekelewa mbali
 
Aksante kwa kuota mchana ila laiti ungelisema chama kingine wala sio CCM. Kimeundwa, kimefinyangwa na kime pikika kikaiva. Kwetu wanasema, chungu cha mboga kutokeza mafuta nje yake kikiwa jikoni sio kuvuja bali kuonesha mkaango wake. CCM ni jabali
 
CCM haiwezi kuanguka tu eti kisa kuna uzi umeanzishwa JF, au eti kisa kuna watu wanaichukia mtaani,

Pamoja na mabavu ya kuingia ikulu hasa Zanzibar, lakin hata washindani wetu hawajawa na njia sahihi za kushawishi waliowengi kuwapa kura,

Cha msingi angalia CCM imashindaje na vyama mbadala vinashindwaje,
 
CCM ni kama maji kwa nyakati hizi na kwa miaka mingi ijayo. Kusema CCM itaanguka ni sawa na kusema...kuanzia sasa mito, maziwa, mvua, visima, chemichemi, mabwawa, bahari n.k. vitapotea, siyo kukauka, vitapotea ! Sasa nini kitabaki hapo hivyo vyanzo vyote vya maji vikipotea? Kwa kifupi, yawezekana haujui nini maana ya CCM yaani haujui msingi wa uwepo wa CCM hapa nchini kama chama cha siasa na kwa sasa kinaongoza awamu ya tano ya serikali yetu ya Watanzania. Nakushauri katafute ufahamu wa msingi wa uwepo wa CCM.

Jifunike hapo hapo kwenye blanket la historia, hata kina Gaddafi, Hosni Mubarak pia walijiaminisha hivyo hivyo. Saa hii watu wanaongea mengine. Hao walikuwa na nguvu kuliko hiyo ccm unayoitaja.
 
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa swala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili. Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe. inasekana ajenda kubwa ya kundi hili itakuwa KATIBA MPYA NA UTAWALA SHERIA, NA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU.
Wewe jamaa kichwa yako iko sawa?
 
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa swala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili. Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe. inasekana ajenda kubwa ya kundi hili itakuwa KATIBA MPYA NA UTAWALA SHERIA, NA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU.
Sio rahisi shida ni katiba yao inatoa nafasi hata mwenyekiti wao kumiliki chama na kuwafuta uanachama wote watishiayo umiliki wake,atawafukuza wote,waliotishio.
 
Wasalaam, kuna ushahidi WA kutosha kwamba chama dola ccm kitapasuka vipande viwili kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kuna habari za uhakika kwamba kuna kundi kubwa ndani ya chama ambalo halijaridhika jinsi nchi ilivyoendeshwa ktk awamu hii ya tano hasa swala la maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa duni kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru.

Inasemeka kundi hilo lenye nguvu kubwa ndani na nje ya ccm limejipanga vilivyo kubomoa nyumba ili wagawane fito, na hii ina maana ccm itagawanyika vipande viwili. Habari zinasema wakati huo viongozi karibu wote wa vyama vya upinzani watakua wameshafungwa hivyo upinzani utabaki baina ya wana ccm wenyewe. inasekana ajenda kubwa ya kundi hili itakuwa KATIBA MPYA NA UTAWALA SHERIA, NA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU.
Mbona ccm ilisha anguka siku nyingi tu, ama ulikua hujui?
 
Back
Top Bottom