Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
yule Dada anafit kwenye kila kipindi chao cha "nambie" na yule mwenzie akili ndefu ndo wanawezana kule kucheka sana, jokes nyingi..
Mkuu inaezekana "Mtu wa nguvu" akawa anataka kuachana na Mawingu FM et?Nilitaka kulisema hilo lakini nikaona nikaekimya sababu mimi sio mpenzi wa clouds fm lakini kwa siku kadhaa sababu ya eneo nililo kuwepo haikuwa na namna ikawa nasikiliza tu,dada anaongea sana kushinda millard point chache anarukiarukia vitu mwenzie akiwa anataka kuelezea nadhani hii couple bado haija match labda kama ndio katika kipindi cha mpito kabla millard hajaachana na mawingu fm
Yap Mkuu kumbe uligundua pia, kipindi kilimshinda kabisaa, sijui mabosi wake hua hawasikilizi? maana wangekuwa washamtoaMimi nilichoka pale MILLAD aliposafiri nadhani alikuwa ni ama kikazi ama binafsi Arusha....
Ulimwengu mzima ulijua... maana kipindi ilikuwa ni mwanzo mwisho anamtaja na kumlilia MILLAD....!!
Baki ivo ivoAcha uongo.
Kipindi kilikua kinafanyika liver kwenye studio ya Millard Ayo. Ajawai kurekodi kipindi ata siku moja na kama yuko safarini anamuachia kipindi Askofu. Na Mina ni manzi wa ndugu yake Millard (Shemeji) kwahiyo awezi kufanya kitu chochote bila kushirikiana na Millard. Ndio maana unaona ana utani mwingi sana na Millard kwasababu wanajuana mda mrefu karibia miaka miwili.
Baki ivo ivo
Siwezi kaa nikabishana na wewe huo muda sina..Uwezi kuja kudanganya watu hapa kwa vihabari vya kuokoteza.
Siwezi kaa nikabishana na wewe huo muda sina..
mchovu cjui tatizo nn ni mmoja ya mtu kielelezo cha wanaume wa dar.maswaga ya kitoto naya kipuuzi sana na outdated yaan boooonge la fara aseeKitika vipindi bora kabisa vya clouds ukitoa cha michezo ni hicho Amplifier, kilikuwa kipindi kilichokuwa na habari bora na mtangazajia laikuwa serious, lakini sasa kimekuwa ni kipindi cha comedy, kimekufa kabisa maana yake
Huyo dada Amina Ally ana "boa" kuliko maelezo kazi ni kuchekacheka tu hata kama hakuna cha kuchekesha, pia kamzidi nguvu kabisa Ayo, Ayo amekuwa kama ni mtangazaji msaidizi tu, Clouds kama wanapita humu walifanyie kazi hilo,
Pia wasisahau kumpunzisha Adam Mchomvu ni mtu mwingine pia anaeharibu Kipindi cha XXL,
mchovu cjui tatizo nn ni mmoja ya mtu kielelezo cha wanaume wa dar.maswaga ya kitoto naya kipuuzi sana na outdated yaan boooonge la fara asee
Thats what i see,chemistry ya mtu wanguvu na huyo dem ni vitu viwili tofauti!!alafu kunatetesi zili kwea hapa jukwaani kuhusu jamaa kuachana na mawinguMkuu inaezekana "Mtu wa nguvu" akawa anataka kuachana na Mawingu FM et?