behindthescene77
Member
- Aug 5, 2017
- 19
- 3
Hio inasababisha kuchelewa maendeleo, sababu ya watu kudeal na mambo ya watu, nadhani tukifocus kwa issue binafsi sidhani kama kutakuwa na kuchuguliana namna hii.Hahahahhahahahaha
Makavu laivu watanzania wanafiki sana , na wanapenda kufatilia maisha ya watu balaaa hebu fikiria mtu anatumia muda mwingi kujua maisha ya watu wengine wasio muhusu kuliko kufanya kazi .
Ngoja niishie hapo maana .......
Sent using Jamii Forums mobile app