Imenifanya nitafakari kuhusu maisha tunayoishi na wengine wanayoishi.
Mfano hai: Serikali yetu hutumia milions katika kuweka mabango barabarani kuanzimisha tukio fulani wakati kuna wananchi wengi wenye mahitahi ya afya, elimu, chakula na hawana msaada wowote.
Imenifanya nitafakari kuhusu maisha tunayoishi na wengine wanayoishi.
Mfano hai: Serikali yetu hutumia milions katika kuweka mabango barabarani kuanzimisha tukio fulani wakati kuna wananchi wengi wenye mahitahi ya afya, elimu, chakula na hawana msaada wowote.
Eeeee Mungu, uhai niliao nao, kazi niliyo nayo, uzima niliyonao, ni kwa neema yako tu! Nisaidie kuvitumia kwa mapenzi yako na kuwaonyesha wengine upendo wako. Thanks kwa hii post Amavubi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.