Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Ngumu kuamini Suge na Dre wa enzi hizo wanaweza ku differentiate ..
usisahau na drugs alikuwa anatumia huyu...
Ugomvi wa Suge na Dre ulichangiwa na attitude ya Dre. Jamaa alikuwa anachagua watu wa kufanya nao kazi, na muda wa kufanya kazi. In short, Dre worked at his own pace. Snoop aliwahi kusema kuwa Dre alikuwa anagonga mkono mmoja, wanaskiliza siku nzima; Tupac alivyokuja, kila kitu kikabadilika, cuz jamaa alisababisha kila mtu akawa anapiga kazi extra.
Kabla ya Tupac, Dre ndio alikuwa anasukuma mauzo ya Death Row kwa sana, both as a producer and artist. Alivyokuja Tupac, aka-take over as their major name, na vichwa vingine kwenye production vikapata nafasi. Suge ndio akamtimulia Dre mbali.