Kupenda usipopendeka mmmh:A S-alert1:
hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?.
:A S thumbs_up:hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?mwanaume hakataagi, kama akiona umelianzisha mwenyewe japo yupo kwenye uhusiano atakubali ili atimize haja zake...otherwise unaweza kuwa karibu nae, ukiendelea kumsoma vizuri, wkend moja moja mkaribishe lunch home bila kumweleza lolote, story za hapa na pale....kama mnamawacliano ya fone mtumie sms nzuri nzuri, sio za i luv u.....hapana....mpe maneno matam/mazuri..atakapobugi step kufungua kinywa chake kukueleza jambo ulilokuwa unalitamani usichezee chancee..ui2mie ipasavyo kukamilisha lengo lako.....kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima.
Kweli kabisa, mi mwenyewe naamini mtu ukiwa na hisia juu ya mtu unamwambia ili uwe free ila akinifikiria hivyo je na mimi ni mwanamke?! Inabidi niwe na kifua kweli kweli cha kumwambia.
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote))
Nahisi kaa vile mimi....! Hebu vunja ukimya nijue kama ndio mimi, kama ndiyo basi nitakupokea regardless of an approach you use, provided I get your message....!Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote))
Tupo pamoja mm hofu yangu kubwa jamaa anaweza akamchezea weeeeeee akisha chuja anachapa mwendo si kajipeleka mwenyewe
:A S thumbs_up:
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote))
:kiss:
hata ingekuwa ni wewe mrembo kama BJ kajileta, utamwambia hapana nina galfnd/mchumba? lazima utafanikisha utakacho then BJ akija gundua huna lawama coz alikufata mwenyewe.
Ewaa....
Sasa hebu mfanyie BJ kitchen party umpe mamikakati ya mabodi langueji......unaweza!
Ukiona mwanaume anakataa mwanamke aliye jipendekeza huyo lazima atakuwa na mushkeli aidha mwanamke mwenyewe viwango havijitoshelezi au mwanaume mwenyewe hana kiu
Ukiona mwanaume anakataa mwanamke aliye jipendekeza huyo lazima atakuwa na mushkeli aidha mwanamke mwenyewe viwango havijitoshelezi au mwanaume mwenyewe hana kiu
Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah Yani acha tu, naona vitendo viongee zaidi ya live ila bado najipanga..akikubali dinner itakuwa walaaah
kuanza akikubali dinner,tayari huko huko lazima yeye ndio atakuanza..hahahaah,wanaume wa kiafrica wenyewe ndio wanawatoa watu dinner ...,ukiwatoa that means unamtaka.!..he will definetely make his move tonight...dont worry...lol......wewe ni kumualika tu for dinner,the rest will follow....naturally:embarrassed:
Kuwa makini maana tayari inaonyesha una mtamani labda yeye hakufeel kabisa unaweza ishia kumegwa tu na jamaa akachapa rapa na kukuachia maumivu ya kidonda ndugu ukaja kujuta kupenda na ukatuchukia wanaume wote duniani
Niambie tu BJ! Usihofu sitakuangusha
BJ mie ni mwanaume, nakushauri hivi,
1.Mwombe Mungu aepushe brabra zozote za ujana na Shetani.
2.Ongea na spritual chaplain wako,au pastor/priest, mwambie hiyo scenerio,
3.muulize dhehebu lake,au kama unlijua mwombe mwende kwa huyo chaplain awaunganishe..
N.B...Fanya yote hayo baada ya kujiridhisha kuwa anaelekea kwenye anga zako......pia ushauri wa wadau hapo juu ka SINIORITA ni mzuri...ukifanikiwa usisahau kurudi na kumwaga mambo hapa jamvini........au nifikirie na mie,,,
BJ mie ni mwanaume, nakushauri hivi,
1.Mwombe Mungu aepushe brabra zozote za ujana na Shetani.
2.Ongea na spritual chaplain wako,au pastor/priest, mwambie hiyo scenerio,
3.muulize dhehebu lake,au kama unlijua mwombe mwende kwa huyo chaplain awaunganishe..
N.B...Fanya yote hayo baada ya kujiridhisha kuwa anaelekea kwenye anga zako......pia ushauri wa wadau hapo juu ka SINIORITA ni mzuri...ukifanikiwa usisahau kurudi na kumwaga mambo hapa jamvini........au nifikirie na mie,,,
Aisee Fidee, activate avatar yako, ilikuwa inanichekesha kinoma jinsi inavyo move