BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
- Thread starter
- #81
Belinda Jacob, nakuonea raha sana, lazima niwe mkweli kwako, wewe ni miongoni mwa wadada wa humu JF ambao mimi ninawazimia, sikuthubutu hata kufind out kama uko single au la kwasababu It would have made no diference.
Now that you have found love, if he is the choice, please choose your love and love your choice.
Be a modern girl, you can be the initiator usisubiri mpaka yeye ndio akuanze, unaweza kumuanza kwa kumpa ivitationfor lunch, muonyeshee unapenda kuwa karibu nae, ukikutana nae mpe comliments za hapa na pale kama you look good, I like your choice of colour, mkiongeoa nae fikia kiwango unamuona he is easry to talk to, kama kwa yote hayo hajaonyesha dalili yoyote, nenda advance stage.
Toka nae for dinner, try to be as close as you can ili kuamsha spark, ukiweza mshike mkono, crack simple jokes to make him an easy, mkaribishe kwako na kujiachia as free as posible kumpa dalili zote kuwa you are available for him. Kama baada ya yote hayo hata respond, then, he has no spark for you, he is not your man, keep him just as good friends and the spark may grow and love may blossom.
Don't be disapointed na slow response, wanaume wengine ndivyo walivyo, lazima waanze wao, and if that will be case, wewe pia ndio utakuwa kichwa cha nyumba. Amini usiamini, asilimia 80 ya wanaopandishwa altareni, ni mwanamke ndio huwa anajionyesha she is a wife material na wengi huwa wanapressure kutaka ndoa, ndipo nasi hukubali.
This might be your opportunity, seize it!
Go Belinda Go!.
Aaww!! Pasco, I am flattered and do appreciate kwa mtazamo wako juu yangu!!..
Ni kweli am very calm pia still searching for the man to be with for the rest of my life ambaye moyo umemwangukia, I hope atafeel the same tuwe pamoja otherwise ni maumivu ya moyo yataniandama.
Asante kwa ushauri mzuri, let me make my move in a nice and slow way!!..I just hope, he will feel the same na mwisho wa siku tuwe na life adventure pamoja na kuandika historia..
Dinner is one of my plans na nipo kwenye maandalizi..The way you wrote, yani napata fantasies ya hiyo siku tutakayoenda dinner na maybe outing zingine..Moyo wake ukiniangukia pia ,he will make me the happiest lady!!..mana kupenda nawe upendwe ndiyo inanoga.
Thanx again, let me try my luch kwa hizo techniques..angalau umenigusia slow respons ili nisiwaze sana, kwahiyo nitatilia manani
Cheers...
Ahahahaaaah!!!!
He nimeshtuka nikasema kajuaje kiswahili,mweeh!!..
Kupenda usipopendeka mmmh:A S-alert1:
Hapo sasa, unabaki na mawazo...Naomba anipende
Mi pale ni kama home haipiti siku sijatia maguu pale.
Vp unamwambiaje BJ avunje ukimya alonge nae? Akilonga nae jamaa ataishia kupanua shimo alafu anakula kona
Du!..kamanda unanitisha ila ndiyo inaweza kuwa hali halisi..maisha haya ni ngumu kujua mwenzio anakuwazia nini ati
pouwa!
BJ nishamalizana naye pale juu!
Umesomeka mamushka..thanx
Tuliza ball mtoto mbona hivyo??????????
Ha ha..Dena bwana, ungenipa mbinu mwaego)
Haya mambo ya kuogopa ndo yanaleta shida we mwaga radhi bwana mwambie akikataa poa tu kwani ye nani bwana kukataliwa kawaida lakini hutakuwa na dukuduku moyoni na mapenzi yatakwisha kabisa. Ukitext ataona unamwogopa wewe mvae live ndo poa bwana ataona haya. Ila mcheki jamaa mwenyewe kwanza kwa undani isije ikawa ndo wale ukimwambia anaanza kutangaza kanitaka yule kimepanda kimeshuka
Kweli inataka nguvu za ziada, kama usemavyo kukataliwa inaweza kutokea ila reputation yangu baadae kama atatangazia watu..namuona mtu fresh ila uwezi jua, simwamini kama hataniangusha..hivyo nipo njia panda
Belinda usipate tabu kabisa mbona m2 mwenyewe ndio mm, ujumbe umeshafika sasa naufanyia kazi nakuomba out weekend hii
Thanks kwa kufikisha ujumbe wako hapa jamvini
You made my day...ingekuwa namna hiyo ningekuwa nimepunguza mawazo kichwani....usitangazie watu lakini lol(joke)..
for the first time eversince nimemfahamu BJ.......
:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:
Then you've realised that I'm sooo into this guy!!..finally nimefall kwa mtu ambae hajui hisia zangu kwake!!
hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?mwanaume hakataagi, kama akiona umelianzisha mwenyewe japo yupo kwenye uhusiano atakubali ili atimize haja zake...otherwise unaweza kuwa karibu nae, ukiendelea kumsoma vizuri, wkend moja moja mkaribishe lunch home bila kumweleza lolote, story za hapa na pale....kama mnamawacliano ya fone mtumie sms nzuri nzuri, sio za i luv u.....hapana....mpe maneno matam/mazuri..atakapobugi step kufungua kinywa chake kukueleza jambo ulilokuwa unalitamani usichezee chancee..ui2mie ipasavyo kukamilisha lengo lako.....kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima.
Ukweli sijui kama ana uhusiano mwingine ila kwa hisia atakuwa nao..asante kwa hizo njia, basi nitanda hivyo hivyo ili nimvute kwangu kidogo kidogo..simu nitaitumia vizuri, maneno matamu na kumwachia yeye aseme ajisikiacho...I hope hatanichezea akinifeel pia..
Maskini Belinda pole sana mapenzi yanautesa moyo wako.
Nadhani sasa uanze kutumia Body language ipasavyo
Besti usiseme mwenzangu, yananitesa siyo kidogo..hizo body language nazifanyia kazi!!thx
Tupo pamoja mm hofu yangu kubwa jamaa anaweza akamchezea weeeeeee akisha chuja anachapa mwendo si kajipeleka mwenyewe
ukisema hivyo nasisimka sana, asije akanichapa na kuniacha nalia mwana wa watu!..Sitojipeleka kivile basi