Ameuteka Moyo Wangu!!!!

Belinda Jacob, nakuonea raha sana, lazima niwe mkweli kwako, wewe ni miongoni mwa wadada wa humu JF ambao mimi ninawazimia, sikuthubutu hata kufind out kama uko single au la kwasababu It would have made no diference.

Now that you have found love, if he is the choice, please choose your love and love your choice.

Be a modern girl, you can be the initiator usisubiri mpaka yeye ndio akuanze, unaweza kumuanza kwa kumpa ivitationfor lunch, muonyeshee unapenda kuwa karibu nae, ukikutana nae mpe comliments za hapa na pale kama you look good, I like your choice of colour, mkiongeoa nae fikia kiwango unamuona he is easry to talk to, kama kwa yote hayo hajaonyesha dalili yoyote, nenda advance stage.

Toka nae for dinner, try to be as close as you can ili kuamsha spark, ukiweza mshike mkono, crack simple jokes to make him an easy, mkaribishe kwako na kujiachia as free as posible kumpa dalili zote kuwa you are available for him. Kama baada ya yote hayo hata respond, then, he has no spark for you, he is not your man, keep him just as good friends and the spark may grow and love may blossom.

Don't be disapointed na slow response, wanaume wengine ndivyo walivyo, lazima waanze wao, and if that will be case, wewe pia ndio utakuwa kichwa cha nyumba. Amini usiamini, asilimia 80 ya wanaopandishwa altareni, ni mwanamke ndio huwa anajionyesha she is a wife material na wengi huwa wanapressure kutaka ndoa, ndipo nasi hukubali.

This might be your opportunity, seize it!
Go Belinda Go!.

Aaww!! Pasco, I am flattered and do appreciate kwa mtazamo wako juu yangu!!..
Ni kweli am very calm pia still searching for the man to be with for the rest of my life ambaye moyo umemwangukia, I hope atafeel the same tuwe pamoja otherwise ni maumivu ya moyo yataniandama.
Asante kwa ushauri mzuri, let me make my move in a nice and slow way!!..I just hope, he will feel the same na mwisho wa siku tuwe na life adventure pamoja na kuandika historia..
Dinner is one of my plans na nipo kwenye maandalizi..The way you wrote, yani napata fantasies ya hiyo siku tutakayoenda dinner na maybe outing zingine..Moyo wake ukiniangukia pia ,he will make me the happiest lady!!..mana kupenda nawe upendwe ndiyo inanoga.
Thanx again, let me try my luch kwa hizo techniques..angalau umenigusia slow respons ili nisiwaze sana, kwahiyo nitatilia manani
Cheers...


Ahahahaaaah!!!!

He nimeshtuka nikasema kajuaje kiswahili,mweeh!!..


Kupenda usipopendeka mmmh:A S-alert1:

Hapo sasa, unabaki na mawazo...Naomba anipende


Mi pale ni kama home haipiti siku sijatia maguu pale.

Vp unamwambiaje BJ avunje ukimya alonge nae? Akilonga nae jamaa ataishia kupanua shimo alafu anakula kona

Du!..kamanda unanitisha ila ndiyo inaweza kuwa hali halisi..maisha haya ni ngumu kujua mwenzio anakuwazia nini ati


pouwa!
BJ nishamalizana naye pale juu!

Umesomeka mamushka..thanx


Tuliza ball mtoto mbona hivyo??????????

Ha ha..Dena bwana, ungenipa mbinu mwaego:))

Haya mambo ya kuogopa ndo yanaleta shida we mwaga radhi bwana mwambie akikataa poa tu kwani ye nani bwana kukataliwa kawaida lakini hutakuwa na dukuduku moyoni na mapenzi yatakwisha kabisa. Ukitext ataona unamwogopa wewe mvae live ndo poa bwana ataona haya. Ila mcheki jamaa mwenyewe kwanza kwa undani isije ikawa ndo wale ukimwambia anaanza kutangaza kanitaka yule kimepanda kimeshuka

Kweli inataka nguvu za ziada, kama usemavyo kukataliwa inaweza kutokea ila reputation yangu baadae kama atatangazia watu..namuona mtu fresh ila uwezi jua, simwamini kama hataniangusha..hivyo nipo njia panda

Belinda usipate tabu kabisa mbona m2 mwenyewe ndio mm, ujumbe umeshafika sasa naufanyia kazi nakuomba out weekend hii

Thanks kwa kufikisha ujumbe wako hapa jamvini


You made my day...ingekuwa namna hiyo ningekuwa nimepunguza mawazo kichwani....usitangazie watu lakini lol(joke)..


for the first time eversince nimemfahamu BJ.......
:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:

Then you've realised that I'm sooo into this guy!!..finally nimefall kwa mtu ambae hajui hisia zangu kwake!!


hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?mwanaume hakataagi, kama akiona umelianzisha mwenyewe japo yupo kwenye uhusiano atakubali ili atimize haja zake...otherwise unaweza kuwa karibu nae, ukiendelea kumsoma vizuri, wkend moja moja mkaribishe lunch home bila kumweleza lolote, story za hapa na pale....kama mnamawacliano ya fone mtumie sms nzuri nzuri, sio za i luv u.....hapana....mpe maneno matam/mazuri..atakapobugi step kufungua kinywa chake kukueleza jambo ulilokuwa unalitamani usichezee chancee..ui2mie ipasavyo kukamilisha lengo lako.....kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima.

Ukweli sijui kama ana uhusiano mwingine ila kwa hisia atakuwa nao..asante kwa hizo njia, basi nitanda hivyo hivyo ili nimvute kwangu kidogo kidogo..simu nitaitumia vizuri, maneno matamu na kumwachia yeye aseme ajisikiacho...I hope hatanichezea akinifeel pia..


Maskini Belinda pole sana mapenzi yanautesa moyo wako.
Nadhani sasa uanze kutumia Body language ipasavyo

Besti usiseme mwenzangu, yananitesa siyo kidogo..hizo body language nazifanyia kazi!!thx


Tupo pamoja mm hofu yangu kubwa jamaa anaweza akamchezea weeeeeee akisha chuja anachapa mwendo si kajipeleka mwenyewe

ukisema hivyo nasisimka sana, asije akanichapa na kuniacha nalia mwana wa watu!..Sitojipeleka kivile basi
 
Ukisema hivyo nasisimka sana, asije akanichapa na kuniacha nalia mwana wa watu!..Sitojipeleka kivile basi

[/QUOTE]
Problem Belinda ukiwa kwenye mapenzi, would you know the limit that you can go? I don't think so..You just do it blindly.
 
:A S thumbs_up:

Nyamayao kanifurahisha hata mie kwenye hili, quote "kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima"


ni kweli lazima uwe mwangalifu katika kumwambia asije akakuona tofauti na pia usisubiri hadi asome hisia zako mwenyewe unaweza kukuta hana tym hadi mwingine akakuwahi bure. So take risk but a CALCULATED ONE

Sawa nitakuwa mwangalifu mana ni jambo lisilotabirika kabisaa...kazi ninayo, duu!!


...angalau BJ umetuletea thread ya ki utu uzima hapa :thumb:
will be back!...

Thanx Mbu, bora urudi mana mwenzio nipo na mawazo kweli..na wewe ni mwanaume, nitapata ushauri mzuri ku-handle hili swala...xoxo



Mi nakushauri stay Closer...closer!.

Will be more closer with soft approach!!!..


Nahisi kaa vile mimi....! Hebu vunja ukimya nijue kama ndio mimi, kama ndiyo basi nitakupokea regardless of an approach you use, provided I get your message....!

Whaaao!!..I only wish iwe hivyo mana will be so excited!!..please pokea me bila kujali nilikuanza na usinichezee (joke)


hata ingekuwa ni wewe mrembo kama BJ kajileta, utamwambia hapana nina galfnd/mchumba? lazima utafanikisha utakacho then BJ akija gundua huna lawama coz alikufata mwenyewe.

Hebu Fidel, tupe feedack kwenye swali la Nyamayao..aisee naogopa kweli nikiwaza hivi


Niliwahi kuuliza humu ndani kama kutongoza ni kosa na wengi walinijibu kuwa sio kosa ila kosa ni ile process yenyewe,tatizo ni kwa wanamama ndio ambao wamejiwekea mazingira ya kuonekana very very expensive kiasi mtu anaweza kukufuata akapata majibu yatakayomfanya ajute kukufahamu.Inawezekana kabisa kuwa kijana naye amekupenda ila anaogopa kujivunjia heshima yake kutokana na jinsi wewe ulivyo decent,maana baadhi yenu mkifuatwa na watu walio karibu yenu huwa mnawaambia yaani hata wewe,na nilivyokuwa ninakuheshimu?Sasa kijana anakuwa mzito kukuanza ila ushauri mzuri ni kuvunja ukimya na mtafutie sehemu nzuri ambayo anaipenda umpeleke na uongee naye taratibu nadhani atakuelewa.I wish you all the best in getting the father of your children.

Paka wangu asante sana, yani umenipa nguvu jinsi ya kuhandle hili suala..Nitafurahi tu na yeye atakaponipokea na tuwe pamoja vinginevyo atautesa moyo wangu..
Thanks for good wishes, na iwe mkuu!!


Ewaa....
Sasa hebu mfanyie BJ kitchen party umpe mamikakati ya mabodi langueji......unaweza!

Yani Nyamayao kanipa K-party tayari na nimemsoma ipasavyo...kazi kwangu,lol


Wewe mwenyewe unaitwa YOTE UBATILI, hapo lazima kila kitu ukione ni ubatili mtupu, eti spiritual....... wao wenyewe ndio wa kwanza kwa ku'fall'wa waumini. Love is natural acha blabla bwana. Halafu wewe YU unanitia wasiwasi sana kama umeoa sijui umeolewa utakuwa unaona hata kufanya tendo la ndoa utakuwa unaona ni ubatili!!

ana wito jamani Madam, ha ha..inawezekana kwa vile ni mtu wa kiroho zaidi ku-do ni ukiwa kwenye ndoa tu..huwezi jua usimlaumu..


Ndo maanake na waswahili wanasema unaweza penda usipo pendeka hilo nalo liangalie kwa makini na kwa mapana sana

umakini utazingatiwa, asante sana mana umeongea kwa experience ya kiume hivyo sitoleta kujijua kwenye hili


haaaa we binti, unahitaji Mwongozo!!

Seniorita amesema vyema, inawezekana kabisa kuwa ni mpango mzuri baadaye! lakini kwa angalizo kubwa, Maisha si kupenda tu kwa kumfeell mtu! yanenda na busara ya upendo na umakini mkubwa!
unajua kama wewe ni Mkristo utakumbuka Gamalieli alivyo waambia mafarisayo kuwa wamsimtese sana Paulo wasije wakawa wanshindana na Mungu, kwani walitokea wengi wenye nguvu sana na wakavuma sana lakini walipita, LAKINI Mzee Gamalieli alisema kama jambo hili ni la Mungu LITADUMU!!!! na hapa uwe makini kama ni upendo yaani Shalom! sio tamaa tu za ujana zimewaka litadumu.... no matter how long it takes!!! be patient Girl, be prayerful and keep him in ur contacts, stay close acha visa vya ushawishi!! usimtegee kwani akinasa unweza kuja hapa baadae ukilia ndoa imekushinda
mama Ndoa ni Mkataba, unaonzia kwenye urafiki wa muda!! things advance slowly.
sasa Umuambie mwanaume unampenda uuuuuu!!!!! I would think twice for me any way sijui kwa wengine!!! LA MSINGI SALI SALI SALA NI MUHIMU SANA HASWA WAKATI HUU WA TEENAGE! na kwako ni muhimu zaidi unapoingia kwenye mahusiano!! he is hand some fine, chaming fine, dont go that far of thinking of watoto nk. nadhani ummenda mbali kwa wakati huuuu!!!

be patient! halafuuu hii picha yako sijui ndo tuanaitta avaat? it can define who u ar so be careful!! AWAZAVYO MTU NDIVYO ALIVYO!!

Asante naomba mwongozo..
mimi ni mkristo na ninahisia kama binadamu wengine hivyo sijaona kosa langu..ingekuwa unaweza kuondoa hisia ningeondoa lakini ndiyo hali halisi..Mind you, I was a teen years ago..nipo very serious kwenye hili na uniombee na ww kwenye sala zako kama unaweza..
Avatar inaonyesha ni mtu wa kujiremba of which I am. so WYSIWG..Thanks


sWEET LIPS...

TAKE A CHANCE, MAKE SURE NA WEWE UNAUTEKA MOYO WAKE KAMA ALIVYOKUFANYIA WEWE... UTAMU WA VITA VYOVYOTE DUNIANI NA HASA VYA MAHABA NI WHEN YOU BECOME A GREAT CONQUEROR... AND NOT THE CONQUERED

GO GIRL, RAISE YOUR BAR, ATTACK LIKE A WOLF, STING HIM LIKE BEE AND PUT HIM IN YOUR ARMS

BEST OF LUCK

Hey Acid, kwanza umenikumbusha hii "Take a Chance if you can" tatizo ni kuwa katika kila situation mtu unayokutana nayo maishani unaweza ku-take a chance??!!

Umenipa confidence ya ajabu, I hope kumteka naye pia as I feel him so deep... Thanx for good wishes!!


Pasco nailed every thing down. All the best BJ

Indeed thanks Nguli, I hope for the best too especially kwayeye kunipenda pia..


mama gaude unasikia!!!!

Huko wapi??he he


BJ.........mtoto wa kike weye bana usintie aibu mwali wangu eh......body language, body language and more body language
Ongea kwa macho bi dada, ongea kwa lips, mikono (viganja), ulimi na hata kidole cha shahada. All the best

Asipokuwa mwelewa tumia lugha ya ukarimu na kujali

MwanaJM1 besti, nimekuelewa na asante kwa fundo hilo..sitokutia aibu inshallah tu anipende na yeye mana roho itatulia na kuwa na amani tele..
Let me try my luck kwa hizo body language na lugha ya kujali...thanx ma


Nakushauri anza kumwambia,nazani atakuelewa.Usiogope haya mambo ni ya kawaida katika maisha!!!

Tukutuku, asante mkuu...naombea anielewe mana haya mambo ni magumu sana..asije kunipa tu kidonda moyoni, naogopa hilo acha tu..


Usiogope kumwambia kwani ninavyoamini ni kwamba mvulana akitongozwa na mwanamke/msichana ni nadra sana kukataa labda huyo mwanamke awe hajieshimu au ni kicheche lakini kama ni mstaharabu mwanamme hawezi kukataa hata chembe.....ila onyo lazima ujiulize kama atakupenda kweli na kutimiza malengo yako....

kama usemavyo ni ngumu kukataa ila anaweza kuwa na nia ya kunitumia tu kistarehe wakati mimi nimempendha kwa dhati na kutaka kuwa nae maishan ikiwezakana...ushauri unatingatiwa,asante
 
......be carefuly bibie.....! nimeshawahi kutafutwa na wanawake si chini ya watano in my life......lakini sikumkubalia hata mmoja wao.......! Simply kwa sababu, either walikuwa hawanivutii machoni pangu, ingawa tulikuwa marafiki au sikuweza kuwapenda kiviiiiiile......! Similary kuna wanawake niliwapenda sana, lakini niliambulia a very big nooooooooo.......!

So in this world mara nyingi, watu tunaowapenda tuwe nao, hawapotayari kutupenda tunavyowapenda sisi na wale wanaopenda tuwe nao, hatupo tayari kuwapenda na kuwa nao kama wao wanavyotupenda.
 
......be carefuly bibie.....! nimeshawahi kutafuta na wanawake si chini ya watano in my life......lakini sikumkubalia hata mmoja wao.......! Simply kwa sababu, either walikuwa hawanivutii machoni pangu, ingawa tulikuwa marafiki au sikuweza kuwapenda kiviiiiiile......! Similary kuna wanawake niliwapenda sana, lakini niliambulia a very big nooooooooo.......!

So in this world mara nyingi, watu tunaowapenda tuwe nao, hawapotayari kutupenda tunavyopenda sisi na wale wanaopenda tuwe nao, hatupo tayari kuwapenda na kuwa nao kama wanavyotupenda.
NL......hili nalo neno.
 
BJ dearest,mengi umeshaelezwa lkn naomba nikazie hapo pa kutokumwambia,zaidi zingatia kuweka ukaribu na utumie body language ipasavyo kama alivyotangulia kusema FL1 na MJ1.
Kila la kheri dia,kama Mungu amepanga awe wako na iwe.
 
BJ dearest,mengi umeshaelezwa lkn naomba nikazie hapo pa kutokumwambia,zaidi zingatia kuweka ukaribu na utumie body language ipasavyo kama alivyotangulia kusema FL1 na MJ1.
Kila la kheri dia,kama Mungu amepanga awe wako na iwe.

...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2::pray2:...
 
...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2::pray2:...


Mbu we noma :party:
 
...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2::pray2:...

Mbu mi natamani kujua kila moja ina maana gani
 
sasa Mtarajiwa.....oneself inaapply pale ambapo nawe unahisi wapendwa na haikusumbui sana kama inavyomsumbua BJ.hapa hisia kwa mtarajiwa lazima zichimbuliwe huko ziliko si kusubiri zijifichuwe zenyewe loh BJ wa watu si atakuwa keshafariki kwa mapenzi??

kumbe ni mtarajiwa wako huyu...ehee mwambie bwana!! mimi mwenzenu nasumbuka na mawazo haya, la hasha natamani niutue huu mzigo
 
......be carefuly bibie.....!

......nimeshawahi kutafutwa na wanawake si chini ya watano in my life.....
......lakini sikumkubalia hata mmoja wao.......! Simply kwa sababu, either
......walikuwa hawanivutii machoni pangu, ingawa tulikuwa marafiki au
......sikuweza kuwapenda kiviiiiiile......!
Similary kuna wanawake niliwapenda sana, lakini niliambulia a very big nooooooooo.......!​



So in this world mara nyingi, watu tunaowapenda tuwe nao, hawapotayari kutupenda tunavyowapenda sisi na wale wanaopenda tuwe nao, hatupo tayari kuwapenda na kuwa nao kama wao wanavyotupenda.

My hat's off to you NL!


hats-off.jpg


- "Real men want women of any age who like them, who want to make them feel good

and raise their testosterone level"-
 
Loh!

Kwanza BJ pole kwa 'maradhi' yaliyokukumba.
Si mchezo, mapenzi ni ugonjwa nyie...yakikupata huamini dawa mpaka umpate umtakaye.

asante mana niliyonayo moyoni ni mazito, jinsi ya kumwambia muhusika ndiyo tatizo..halafu atapokea vipi vitendo na mambo yote??

Haya nitaongeza udadisi kwenye nyanja hizo nione mwamko wake...kwahiyo niongee kidogo yeye ndo achonge sana eeh...sawa nimekusoma..

Ila na wewe umeona kuwa kumwambia straight siyo vizuri eeh? haya nitaenda pole pole ila naogopa kupokonywa tonge mdomoni, huwezi jua kama kuna binti mwingine anamfeel ofisini? hapo sasa, kweli mapenzi yanatesa acha tu

will zingatia hizo alternatives..muhimu pia ni kuwa na adventure maishani kwa mtu unaemfeeel..


Hili swali limekaa kimtego luv....am choosing to reserve my comments, am well aware that whatever i say can be used against me, in your court.

Fidel kamaliza tayari..na wewe tungekusikia, be open and frank na usiogope kutoa hisia juu ya hili..ha ha


...I was wondering umepotelea wapi 'kungwi mkuu,' LOL

BJ anatakiwa awe mwangalifu.
Wanaume wengine wakiambiwa na mwanamke "...nimekupenda, nataka uwe wangu"
message anayopokea ni "...naomba 'ukalale na mimi!'"

Sasa sijui 'huyo mtarajiwa' wa BJ ana uasili wa wapi (i.e mbantu, muajemi, 'mdhungu?') kwenye muangalizo wa tamaduni, mila na desturi (wanavyowa treat wanawake wa kikwao)
Nimekusoma hapa;...
...huo ni mwonekano wa nje.

Hutaweza kuujua kilicho moyoni mwake bila kuongea nae.
Huna haja ya kuwa na papara, nawe usikurupuke kumkubalia akikushtukiza na proposal yake!

Kuwa mdadisi, ongea mawili matatu kuhusu maisha halafu mwachie yeye ajaze gunia la maneno upate jua nia na malengo ya maisha yake, kuanzia kikazi, kujiendeleza na mapenzi.

Hakuna njia rahizi ya kusoma roho ya mtu kama akizungumzia jinsi ya ku handle relationship kipindi cha mitikisiko, misukosuko na mpasuko!

Anzia hapo mngali bado marafiki.
Kumbuka kuzingatia alternatives zote kabla ya kuchagua " for better or worse til 'the truth' sets you apart!"

Ha ha..MwanaJM1 na madada wengi pia guys mmenipa ushauri mzuri yani ni mimi kujipanga..
Mbu mtarajiwa ana ubantu pia..na mila ni jambo muhimu kuzingatia kwenye hili..nitakupeni feedback ila siyo leo wala kesho mana ni process ha ha


we ukimwangalia tabia yake towrads you unaonaje? anakuzimia ama?? anaweza kuwa pia in the same boat anashindewa kuvunja ukimya!! it doesnt hurt kuvunja ukimyaaaaaaaaaaaaaaaa!!

Whao!! Shishi, good to read frm you kwanza..nikimwangalia namwona mcheshi, social na mtu muwazi kwenye maongezi..anapenda kuwasiliana hapo hapo kama kuna jambo linahitaji umuhimu/kuwasiliana kazini..ana hasira kwa mbali pia yupo straight kwenye maongezi!! Kwahayo naona ni mtu mzuri na ananivutia..
Kunizimia hapo sijajua, I hope he does kimoyomoyo na aje kuniambia..tukiwa kwa same boat itakuwa raha sana...asante kwa ushauri


BJ........onyesha unamjali .......kuwa attentive anapokuwa anaongea nawe, mfariji kimaneno pale unapomwona yuko down.cheka, furahi ukiwa naye usijaribu kuwa mtu mwingine ili umvutie lah............. mtizame kwa macho laini all the times, lips zichanue kwa tabasamu kila mara/umwonapo.....kuwa mtulivu na msmart. Mkiwa karibu mmesimama au kukaa karibu hakikisha unakuwa mtundu kwa kutumia viganja vyako laini....kitu kidogo akisema unacheka na kijikibao laini cha mgongoni mwali.............ukitakauliza kitu kwake tanduliza kiganja weka begani taratibu mtizame usoni na tabasamu pana uliza kwa sauti ya kike na upole. Kumbuka unapomfanyia hayo uwe unamsoma kama naye anapata hisia flani kwa mguso wako.............................ukishauhisi uchemistry..........jipoteze kidoooogo

All tyhe Best
By The Finest......... kwa niaba ya MJ1

Walaaah..bibie wish me luck kwa hizo mbinu. asnate sana na let me try my best kuuteka moyo wa huyu kijana kama alivyoteka yeye bila kujijua..
I hope chemistry itatiki:))) mbona nitakuwa na xmas na 2011 njema kabisa..ha ha


No comment kwa sasa.

Haya nitasubiria baadae..
 
...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

[/COLOR][/SIZE][/FONT]

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2::pray2:...

Kha! Mbu tafadhali naomba tuition ya hivyo vidole itamsaidia pia BJ
 
BJ dearest,mengi umeshaelezwa lkn naomba nikazie hapo pa kutokumwambia,zaidi zingatia kuweka ukaribu na utumie body language ipasavyo kama alivyotangulia kusema FL1 na MJ1.
Kila la kheri dia,kama Mungu amepanga awe wako na iwe.

Wiselady, that means a lot...najipanga besti na kuzingatia uliyosema..body languaje itapewa kipaumbele..
Asante na tuombeane, huwezi kujua labda ndo final destination yangu ni kwake..
 
BJ,
I can imagine what you are going through. Lakini mimi sidhani kama inakuwa vema mwanamke kumwambia dume anamtaka. Isipokuwa lazima uwe na strategies za kuhakikisha unakipata kile unachoamini ni cha kwako. Mwanamke anaweza kabisa kumfanya mwanaume ajione yeye ndio king akakubaliana naye bila kuonyesha utovu wa adabu.
Pengine kwa upande wako sasa una kazi ya kujua ni hot buttons gani unatakiwa kuzigusa ili mzigo ukudondokee jumla jumla.Na hilo linataka utulivu na akili. All in all hata kama ukimwambia, hutakuwa umepoteza chochote. Ni mlolongo wa mambo ya kimaisha.

Thanx Ndahani..nipo ndani ya dimbwi la mawazo juu ya huyu kaka..Swa sitoenda kwa pupa, nitaweka strategies kwa hali na mali wakati namsoma vizuri pole pole..
umenipa ujasiri na nguvu pia kupambana na hili jambo..subiri nione mwisho wake!!


Problem Belinda ukiwa kwenye mapenzi, would you know the limit that you can go? I don't think so..You just do it blindly.[/QUOTE]

That's the issue, hata sijui limit inawekwaje!!..especially for my case that I'm so in love!


......be carefuly bibie.....! nimeshawahi kutafutwa na wanawake si chini ya watano in my life......lakini sikumkubalia hata mmoja wao.......! Simply kwa sababu, either walikuwa hawanivutii machoni pangu, ingawa tulikuwa marafiki au sikuweza kuwapenda kiviiiiiile......! Similary kuna wanawake niliwapenda sana, lakini niliambulia a very big nooooooooo.......!

So in this world mara nyingi, watu tunaowapenda tuwe nao, hawapotayari kutupenda tunavyowapenda sisi na wale wanaopenda tuwe nao, hatupo tayari kuwapenda na kuwa nao kama wao wanavyotupenda.

Hommie, aisee hii hatari..nitakuwa mwangalifu basi mana experience uliyonipa si mchezo..
Jamani nitakuwa makini kwa hili..mana unampenda mtu moyo wake upo kwingine kwa huyo mtu ambaye nae anapenda mwingine..full mchanganyiko yani..


NL......hili nalo neno.

Amesomeka kweli kweli..This is really Next Level
 
...aaaah jamani sasa mnaniangusha,

Naamini kwa silimia kubwa wengi wenu mlizitumia ishara hizo 'kukonyeza'
enzi za ma lovey-dovey, na messages zilikuwa delivered.
mfano;
Call-Sign-567720.jpg
"nipigie!", ...


Iwapo pamoja na kuzidisha ubingwa wa sarakasi za vidole, bado jamaa atajifanya mpofu,
Mtu ajiandae na maisha ya kuwa ignored kwa signs nyinginezo ndani ya ndoa.

Kwenye mapenzi, muhimu ku notice ishara, kuanzia facial, mabega, pose, et al
 
...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2::pray2:...

Leo darasa kali sana, nimefarijika kweli kweli..Asante kwa hizo alama nitajifunza na kuapply kwenye mipango yangu ya kumteka huyo kaka..

Nisipofanikiwa nitaficha wapi sura yangu?

Nikuulize kitu? wewe binti akiwambia anakupenda live unachukuliaje? kuwa muwazi usijali hutanikwaza..nataka mtazamo tu kama Fidel na St. RR..ha ha
 
Unauma ila unasaidia..mimi napenda ukweli niumie halafu life goes on!!

BJ, I/m sorry this is by the way wala usinielewe vibaya mpendwa. Just in case, I repeat just in case jamaa amedecline kwanini usinikonside mimi? Kwa sifa za jamaa namna ulivyozilist mimi ninazo tena I'm afraid kusema kuna maeneo nahisi nitakuwa nimemuoutperform kabisa. So please niweke kama plan B ili usiumie kwa kumkosa yeye ila uwe na kitu kingine ambacho kama nasoma vizuri between the lines ni bora kuliko hicho utakachokuwa umekikosa in a way hutakuwa umelose bali umegain.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom