Habari zenu wakuu
Naamin mnaendelea vizuri na Ujenzi wa Taifa
Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwa point, Nina Shost yangu kifupi tunashibana sana ila mwenzangu ni Mke Wa MTU kaolewa miaka 3 imepita.
Kuna kipindi walipitia misuko suko na ndoa yake(kwa jinsi alivyonambia ktk kipind hicho alikutana na baba mmoja tena barabarani akasimamisha Gari akampleka alikokuwa anaenda toka siku hyo wakafahamiana na huyo baba.
Baadae huyu baba akamuaproch shost, lakini Shost akamweleza matatizo yake na mumewe wameenda yule baba akawa anamshauri aondoke nyumbani kwake.
Huyo baba atamgharamikia kwa kila kitu kifupi awe nyumba ndogo yake, bidada hakumpa jibu (kwa maelezo yake) katika wakati huo huyo baba anamwaga mahela sana kwa Shost nae bidada akawa anazila tu BT anadai hakuwahi kumuomba hata siku moja.
Ikafika kipindi amani ikàrudi na mumewe sasa wanaelewana.
Ishu imekuja kwa bidada ananiomba ushauri kesha kula sana pesa za yule baba lakini hawajawahi Fanya lolote (Mbaba hakuwa na haraka anataka apate nyumba ndogo)shoga yangu hamtaki huyo Mbaba japo Mbaba ana matarajio Shost atoke kwa mumewe akapangishiwe nyumba.
Naombeni mnisaidie tumshauri huyu Rafiki yangu kanieleza nikamwambia tuonane.
Point yake anampotezeaje huyu baba ikiwa ameshatumia pesa zake nyingi amefika mbali anadai amrudishie ili aachane nae akiwa na amani.
Wakuu toeni michango yenu.
Naamin mnaendelea vizuri na Ujenzi wa Taifa
Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwa point, Nina Shost yangu kifupi tunashibana sana ila mwenzangu ni Mke Wa MTU kaolewa miaka 3 imepita.
Kuna kipindi walipitia misuko suko na ndoa yake(kwa jinsi alivyonambia ktk kipind hicho alikutana na baba mmoja tena barabarani akasimamisha Gari akampleka alikokuwa anaenda toka siku hyo wakafahamiana na huyo baba.
Baadae huyu baba akamuaproch shost, lakini Shost akamweleza matatizo yake na mumewe wameenda yule baba akawa anamshauri aondoke nyumbani kwake.
Huyo baba atamgharamikia kwa kila kitu kifupi awe nyumba ndogo yake, bidada hakumpa jibu (kwa maelezo yake) katika wakati huo huyo baba anamwaga mahela sana kwa Shost nae bidada akawa anazila tu BT anadai hakuwahi kumuomba hata siku moja.
Ikafika kipindi amani ikàrudi na mumewe sasa wanaelewana.
Ishu imekuja kwa bidada ananiomba ushauri kesha kula sana pesa za yule baba lakini hawajawahi Fanya lolote (Mbaba hakuwa na haraka anataka apate nyumba ndogo)shoga yangu hamtaki huyo Mbaba japo Mbaba ana matarajio Shost atoke kwa mumewe akapangishiwe nyumba.
Naombeni mnisaidie tumshauri huyu Rafiki yangu kanieleza nikamwambia tuonane.
Point yake anampotezeaje huyu baba ikiwa ameshatumia pesa zake nyingi amefika mbali anadai amrudishie ili aachane nae akiwa na amani.
Wakuu toeni michango yenu.