Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
Hee kaka hivo why did you let her go in the first place? Go and get her back....kabla #teambazazi hatujafanya kazi yetu
Cc Nicas Mtei KakaKiiza Vin Diesel Asprin Eiyer Mentor Rich Pol
Nashkuru umbuje kunikumbuka uzima upo, vipi wewe lakini..huyu ndugu yangu subiri jua lifike utosini
wanaume jmn sijui mnataka wanawake wawafanyie nini...she been there 2 good years,she loved you..what esle do u want her to do??mi nishakaa na jamaa mmoja long kipind kichz ilibidi nisepe mana mshkaji haonyeshi mwelekeo na mimi ,ndoa hasemi lini,mi nikaona ya nini nikae ananifunua tu,SHE IS FED UP...sio kwamba hakupendi...unless you gather urself and act,..peleka barua ya posa kwao
Unampenda and u know it go ahead and have her for life,isnt marriage about that..?
love is never equal dear,mara nyingi kwenye penzi mmoja lazma amzidi mwenzie tu,and maybe she is just good at hiding her pain..au ndo anatafta kwingine mana jamaa hatangazi ndoa japo anamsifia sana kuwa wife material
Mie mzima sana umbuje!!!
Dah asa unavyoongea hvyo ndio unani kata maini kabisa. yaweza ikawa kweli. Mi sio mtu wa kua hvi aisee. Marafiki wananicheka sanaa.
Naisi kama maumivu aliopata X wako ndio na wewe unaanza kuyapata vilee kweli mungu analipa duniani.
Sikiza mapenzi hayana mkubwa wala mdogo..hata kama nina ventures zangu za hela nyingi still when it comes to love issues we live and learn everyday...She z not tha first woman in my life. She iz just special and one of kind. I'm a changed man thanks to her. She z just a woman i don't wanna let go. She z much younger than me but still i gotta admit amenifundisha mambo mengi, hata mafanikio yangu yeye ana mkono wake pia. Ki ufupi she means a lot to me. We elewa hivyo. Hata wewe ukifikia stage hyo lazma utaona na ku feel a part of you z missing in you when she z gone.
Honestly, You are the only woman in here who digs/understands me well. Unachosema kina ukweli/mantiki sanaaa !! Ntakutumia na card ya mchango wa harusi. LoL
Punguza kuwa soft....kama unamtaka mfuate usiongee kitu..mpige kiss ya kushtukiza..halafu mwambie tu huwezi ruhusu akuache. It will never happen..anzia hapo
umemwacha mwenyewe sasa wakonda kwa nini....pole ukimrudia utakonda mara 8 ya ulivyokonda sasa sababu anajua udhaifu wako
Punguza kuwa soft....kama unamtaka mfuate usiongee kitu..mpige kiss ya kushtukiza..halafu mwambie tu huwezi ruhusu akuache. It will never happen..anzia hapo
Poa umbuje.Hapo sana apo....ngoja ntakucheki kwanukaribu zadi umbuje apa ngoja tumshauri huyu senior Boss maana amebip kapigiwa na mchuchu
hili nalo neno,pia asijue upo JF ,hii siri ya hapa hapa MMu
Punguza kuwa soft....kama unamtaka mfuate usiongee kitu..mpige kiss ya kushtukiza..halafu mwambie tu huwezi ruhusu akuache. It will never happen..anzia hapo
hili nalo neno,pia asijue upo JF ,hii siri ya hapa hapa MMu
hili nalo neno,pia asijue upo JF ,hii siri ya hapa hapa MMu
Hapo sana apo....ngoja ntakucheki kwanukaribu zadi umbuje apa ngoja tumshauri huyu senior Boss maana amebip kapigiwa na mchuchu