Hebu acha utani man.. we hujawahi kupenda nini ?? Mtoto wife material kupita maelezo !!!
Mzee mwanaume awi na kauli mbilimbili ukithubutu kurudiana nae utajuta mkuu' tafuta demu mwingine kuumizwa ni sehemu katika safari za mahusiano kaka...
Hebu acha utani man.. we hujawahi kupenda nini ?? Mtoto wife material kupita maelezo !!!
Be a man and grow some balls, maisha yenyewe mafupi kwanini ujitundike roho, ukonde. Nenda kaombe msamaha...anaekwambia sijui usirudi she will take you for advantage mmmh siafikiani nae 100%.
I am talking on woman perspective 2 1/2 yrs unalalwa, pika pakua bila hata dalili ya kuonyesha una nia ya kuwa nae maishani its big turnoff. We have biological clock and you have been a time waster, I must say. Kama uliweza kuwa na mchumba awali na kumweka rasmi as future Mrs, sioni kwanini hukudhihirisha hilo kwa huyu dada.
Swallow your ego .....asikwambie mtu ...mapenzi hayana formula...walishindwa Adam na Samson sembuse wewe. Ndo hivyo umebanwa pabaya. Senior Boss
Inawekana kakurushia jini
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huyo bado muda wa kula maisha anao hana cha kujutia. We tafuta wa mid 30 kisha uone mtiti wake.
Pabaya kidogo ndugu...ni balaa sana ...usiombe ukapenda chief...yasikie nyumba ya jirani. Ni kujifanya mjinga tu....kama anaficha hisia zake bas she z damn good. Mtu anaku control in a way unajiona we ndio mwenye shida.
Huyo hakupendi na ilikuwa ni relief kwake ulimwabia muachane! Mwanamke anayekupenda ukimwambia habari ya kuachana huwa anaumia sana.
Put that in your mind, she doesn't love me! Get distracted, avoid her. Yaani futa kila kumbukumbu yake Facebook, instagram, phone contact fanya kumsahau
Kawaida, after two weeks utazoea. Wanawake wengi sana kuliko wanaume
Niletee kuku wa njano na mayai viza manne....alafu uniambie unataka tumfanye nini.....???
POLE SANA,MIE NDO NAMDAUNILODI kama ulikuwa hujui,humpati tena ng'oooo
Kwani mkuu bado hujasawazisha tu mpaka leo?