Amerudi sijui nimfanyeje

Amerudi sijui nimfanyeje

mwanza yote yangu

Senior Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
141
Reaction score
30
Yapata mwezi sasa baada ya kubeba vitu vyangu na kuondoka Kwa dharau na kusahau wema wangu nilioutenda kwake kwani nilimtoa akiwa Hana hata darasa moja ila sasa nimhitimu wa chuo kikuu.

Baada ya malalamiko na kumtafuta kila kona bila ya mafanikio eti Leo hii amerudi, sijamsemesha chochote na namwangalia tu sijui nimfanyeje jamani?
 
Nilisema wazi kuwa " I am finding you , I will get you and I will kill you" lakini amerudi mwenyewe nimfanyaje?
 
watu wengine bhana mnatoa summary ya mnayokumbana nayo as if humu tunajua kilichokuwa kinaendelea.

Ilinitokea hapa na niliweka wazi kuwa namtafuta mke wangu na nikimpata nitamuua wana JF walinisaidia sana hatimae amerudi Leo hii na muda huu
 
E bwana usisahau basi kuja kununua jeneza na sanda hapa kibandani kwangu...

Kufa kufaana sheikh....
 
Yapata mwezi sasa baada ya kubeba vitu vyangu na kuondoka Kwa dharau na kusahau wema wangu nilioutenda kwake kwani nilimtoa akiwa Hana hata darasa moja ila sasa nimhitimu wa chuo kikuu. Baada ya malalamiko na kumtafuta kila kona bila ya mafanikio eti Leo hii amerudi, sijamsemesha chochote na namwangalia tu sijui nimfanyeje jamani?

Mwombe Tigo Na Akikataa Ndiyo Tiketi Yake Ya Kuondoka.
 
Back
Top Bottom