Aiseee MKUU ushauri wako wamoto sanaDaaahh aiseeee pole sana mkuuu...story yako inasikitisha sana tena sanaa na inatia huruma .
Ndo maana siaminigi sana ktk mwanamke , mimi huwa napenda watoto tuu.
Ningekua Mimi ,,alafu nishamla ,,, ningemwacha Mara mojaaa,,, unajua nn ???? Ukimwacha nayule alomtia naye atamwacha tuuuu maana jamaa amemla huku akijua demu analiwa naww.( so hana mapenzi naye)..kwaiyo ye hapa atakua sio kitu ila MPOTEZAJI TUUH ,ATAKOSA MWANAMME WA MALENGO NAYE SO ATAKUA KAMA POPO
Lkn pia ukirudiana naye basi demu uyo atakua anakupa uchi sana akiamin ndo aarudish furaha yako ( so km unapenda sex hapo hapo kula zigo weeee alafu baadae UOE mwingine)
Mwisho ....NIDHARAU ATAKAZOKUWEKEA JAMAA KAZINI YAAAN ATAKUDHARAU SANA.
SASA BASI ,,KAMA NYIE WOTE HAMNA MPANGO NAYE,,,MMCHEZEE GEMU ,,, MJIFANYE MAPENDA LKN MOYON UNAJUA ,ALAFU MUWE MNAMTUMIA TUUUUU KILA MTU NAWAKAG WAKE .
BAADA YA HAPO KILA MTU ANAOA MWANAMKE WAKE SAFIIIIIUUUUU.
NB.iyo ndo dawa ya wanawake wapumbavu .
Aiseee mkuuu ushauri niushauri mkuuAiseee MKUU ushauri wako wamoto sana
Amejiunga MKUU ila kumuweka directly hapa nitakuwa namshushia hadhi yake kuna watu waheshima sana anao humu
Inafanya kazi kama recycle bin kwenye kompyuta. Ukifuta vitu vinaingia kwanza hukoEmbu ufafanuzi kwanza kuhusiana na hio App ya dumpster,atakuwa amesaidia wengi
Hiyo ni Apk ambayo unaweza kuidownload playstore, kazi yake ni kama Recycle bin katika computer, unachotakiwa ni kuidownload then una select vitu ambavyo vikifutwa havifutiki permanently vinajisave huko kwenye dumpster, kama voice call alizoongea,msg alizo futa, picha nk, cha umuhimu ni kuiweka hidden hiyo apk ili asiweze kuiona. kama una moyo zaidi download na voice call recorder ambayo itakuwa inarecord kila alicho ongeana kwa namba gani, Ni njia Rahisi ya kumjua mchepukaji.OK MKUU nipe ufafauzi juu ya hiyo App ya dumpster
Ha ha ha sasa wewe ndie umefikiria point!Ina maana jamaa alikula pekupeku? Aisooo,pole zake
Nzuri ndugu yangu. Wahenga sie hatuna maneno mengi tunaguna tu.
Huna swali la nyongeza kwa mtoa mada?Nzuri ndugu yangu. Wahenga sie hatuna maneno mengi tunaguna tu.
Sina swali kwa hawa vijana wa kileo. Kwasababu sisi wahenga tulifundwa ya ndani yanabaki ndani sasa hawa vijana hawa kaba ya ndani wanaweka nje. Zile tamaduni za jando na unyago kuna ulazima wa kurudishwa kwa nguvu na spidi zote. Vijana wanaangamiaHuna swali la nyongeza kwa mtoa mada?
Mhhh ZakiyahSina swali kwa hawa vijana wa kileo. Kwasababu sisi wahenga tulifundwa ya ndani yanabaki ndani sasa hawa vijana hawa kaba ya ndani wanaweka nje. Zile tamaduni za jando na unyago kuna ulazima wa kurudishwa kwa nguvu na spidi zote. Vijana wanaangamia
Mhhh Zakiyah
Wewe ungeweza kuishi nalo moyoni hili?