NDAGLA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 2,490
- 1,351
Rafiki yangu Raheli ni mkazi wa Njombe. Alijiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura mwezi mmoja uliopita, kwa bahati mbaya jana amekipoteza na hajui cha kufanya ili apate kingine, sasa anaomba ushauri. Nini cha kufanya?
Cha kufanya ni kukitafuta MPAKA AKIPATE.
Huo ni uzembe.