Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
asisahau kubeba mapanga mawili na mkuki.
Chasubu,waongera maweKibara ( chibhala) ni sehemu nzuri sana. Ni mji mdogo wa kibara ndio yalipo makao makuu ya wilaya ya Bunda Dc( vijijini). Km kama 45 hivi kutoka Bunda mjini iliko njia panda ya kwenda Tarime, kenya, Musoma na kurudi Mwanza. Kutoka bunda kwenda kibara unatembea kando kando ya ziwa na hata kibara yenyewe ipo ziwani( ziwa victoria), ni sehemu yenye huduma zote mfano hospital ya mission, usafiri wa uhakika muda wote, maji, umeme nk
Barabara ni ya rami. Wenyeji ni wajita na sasa kuna mchanganyiko na makabila mengine na ndio wenye pesa samaki ikiwa ni biashara kubwa. Wajita ni watu wema, hawana makuu. Uchawi inategemea, kama wewe ni mchawi basi nikwambie kuwa upo, kama sio basi hakuna uchawi. Kibara ni maeneo ya nyumbani, kwa sasa niko mojawapo ya mikoa ya pwani, ila nikipata wasaa, ni kheri nirudi nyumbani kuishi na kufanya kazi. Karibu sana Chibhala
Mapanga shaa ni Tarime,Mara sio Tarime kuna makabila mengi tu waungwana.asisahau kubeba mapanga mawili na mkuki.
Uchawi kila sehemu upo.Ukiugopa ndo unakudhur
Module a.. Aice ntakutafta nipo nansio huku..kuna uwezekano nikaja pia hapo mkuu mwisho wa mwezi kuna harakat nataka kuja kufanya pia kibaraUmeelezea vizuri sana mkuu,,sema Apo kwenye Barbara Kuna kipande kidogo Cha kutoka bunda mjini kuja kibara ni Barabara ya vumbi..Wenyeji tupo tunamkarbisha sana kibara nina miaka 2 hapa.
Kalumenya, hiyo ya moto bar IPO hapo kibara??Karibu sana bunda, kibara ni sehemu nzuri hali ya hewa ni nzuri, samaki wapo wa kutosha kwa sasa nipo ya moto bar napata moja moto moja baridi
Huyo alikua hakupendi...! Wala sababu sio unatokea Mara, akikupenda haangalii unatokea wapi...! Mrisyaaa umeniuzi sanaMapanga shaa ni Tarime,Mara sio Tarime kuna makabila mengi tu waungwana.
Wengi tumekosa chaguo la moyo wetu kisa tunatoka Mara wote tunajumuishwa na washenzi hata ukiwa muungwana
Wasukuma wengi KibaraPako vizuri mkuu we mwambie akapige kazi tulijenge taifa. Hakuna sehemu isiyokosa changamoto zake hapo wenyeji ni wajita, samaki wa kutosha na barabara safi kabisa muda wowote usafiri wa kurudi Mwanza mjini upo, Wenzake wamepelekwa Bukoba huko vijijini hata mtandao hakuna sembuse yeye Kibara.!
Alisema tabia ngozi ukizingatia nilikuwa kusini,bora kanda za Kati, kaskazini nk wanajua kutenganisha Tarime na MaraHuyo alikua hakupendi...! Wala sababu sio unatokea Mara, akikupenda haangalii unatokea wapi...! Mrisyaaa umeniuzi sana
Wahaya ni wanafiki Sana, na kheri kuish na mchawi kuliko mnafikiAice bukoba kuna sehemu nilienda piga kazi panaitwa mrusagamba kule nahisi wangepewa tu Burundi maana hata mtandao wanaotumia ni lumitel, kwahyo ukisikia MTU anapakandia kibara lazma uhisi ana kaupungufu sehem frani, Kigoma ndo janga lingne tena
Mkuu watakuijia na povu la sabuni...Wahaya ni wanafiki Sana, na kheri kuish na mchawi kuliko mnafiki
Mkuu watakuijia na povu la sabuni...
Kwa hiyo pia ajiandae kupigwa pipe au?Ajiandae kupigwa majungu sana. Watoto wa kike hapo wana kawaida ya kuzalia nyumbani (single mothers). Kuna vijana wana vijisenti senti hapo basi ni waharibifu sana kwa watoto wa kike. Kuna soko hapo wanauza samaki, matunda na vyakula vinginevyo. Kama mdogo wako ni mwelewa/amekomaa basi ataishi tu bila matatizo.
bado gineri ipo?Ni kwao na George masatu tu Kama wewe ni shabiki wa kolofc utajua. Pako poa mkuu ni sehemu imechangamka kiasi chake. Huduma zote ziko karibu na usafiri kwenda popote upo wa kutosha. Atapapenda na anaweza asiludi uko kwenu. Karibu sana dada niko busambala kijiji kinachofuata kutoka kibara kama unaenda ukerewe.
Mwanamke akikupenda kakupenda Tu Mimi mbona nikitongoza dem wowote na mwambia Mimi kwetu Tarime na hani katai, kijana hacha kuwa muoga jiaminMapanga shaa ni Tarime,Mara sio Tarime kuna makabila mengi tu waungwana.
Wengi tumekosa chaguo la moyo wetu kisa tunatoka Mara wote tunajumuishwa na washenzi hata ukiwa muungwana
Huyo haji elewi hajui kama mwanamke akipenda haoni wala hasikii tatizo lake huyo akiulizwa kabila gani hasemi ukweli ana danganyaHuyo alikua hakupendi...! Wala sababu sio unatokea Mara, akikupenda haangalii unatokea wapi...! Mrisyaaa umeniuzi sana
No ipo bunda mjiniKalumenya, hiyo ya moto bar IPO hapo kibara??