Amepata kazi Bunda mkoani Mara. Vipi wenyeji wa huko?

Nipe namba yake PM, nmeanzia kaz pale na sasa niko bunda mjin baada ya halimashaur kugawanywa, nitampa mwongozo,na ad nmejenga huko
 
Duuuh jamani mdogo wangu nae kapangiwa huko huko kijiji kimoja eti ragata mpaka kidogo achanganyikiwe kutoka mlimba mpaka ragata mbona balaa.
 
Duuuh jamani mdogo wangu nae kapangiwa huko huko kijiji kimoja eti ragata mpaka kidogo achanganyikiwe kutoka mlimba mpaka ragata mbona balaa.
habari bro,mdogo wako kapangiwa wilaya gani? na yupo kata gani? mimi nipo kanda hii kwa sasa,nimewahi kuishi huko kwenu maeneo ya chita...natumai unaongelea mlimba ya ifakara
 
habari bro,mdogo wako kapangiwa wilaya gani? na yupo kata gani? mimi nipo kanda hii kwa sasa,nimewahi kuishi huko kwenu maeneo ya chita...natumai unaongelea mlimba ya ifakara
Wilaya ni bunda dc sio mwenyej saana wa huko ila nimeangalia kwenye mitandao ni kata ya suguti shule ya msingi TAGATA sijajua ipo kijiji gani kwa huko wenyeji akina impelle watatusaidia.
Yap ni mlimba ya kilombero (ifakara) vip mzee ulikuwa mjeda nini? Maana chita ndio maeneo yao.
Karibu sana ndugu tule kitoga na perege ndio msimu wake huu
 
Wilaya ni bunda dc sio mwenyej saana wa huko ila nimeangalia kwenye mitandao ni kata ya suguti shule ya msingi TAGATA sijajua ipo kijiji gani kwa huko wenyeji akina impelle watatusaidia.
Yap ni mlimba ya kilombero (ifakara) vip mzee ulikuwa mjeda nini? Maana chita ndio maeneo yao.
Karibu sana ndugu tule kitoga na perege ndio msimu wake huu

Hiyo ni kata ya Kasuguti kijiji kinaitwa Ragata sio mbali kufika barabara ya rami ya kutoka Bunda mjini kwenda Kisorya mpk Ukerewe( hii barabara ni ya rami). Maeneo hayo mimi ni mwenyeji sana yaani kuanzia Bunda mjini, Tairo, Guta, Nyantare, Buzimbwe, Bulamba, Kasuguti unakunja hapo jirani na mwiseni kupitia Haruzare kwenda Ragata hapo atapakana na kijiji kingine kinaitwa Kabainja na atakuwa anaenda kijiji kinaitwa karukekere ina centre kubwa kidogo kwny gulio siku ya jumapili kwa ajili ya shopping, au achukue pikipiki kurudi mwiseni, kasuguti, nyamitwebili, mayolo( kwa Kangi Bomba), kasahunga, namibu alafu kibara( yalipo makao makuu ya wilaya ya bunda vijijini) barabara ni ya rami so akifika kasuguti magari ni mengi sana.

Awe mwangalifu tu, watu wa huko wanapenda ushirikina, ngono, disco vumbi na ugomvi. Kuna dogo mmoja wa mlimba aliajiriwa Bunda mjini miaka ya 2013, aliishonokea sana Mara, alinisumbua sana kidogo apoteze kazi. Ila amerudishwa kama utataka niwaungaishe ila huyo mwl sio mwaminifu siku hizi
 
Hiyo ni kata ya Kasuguti kijiji kinaitwa Ragata sio mbali kufika barabara ya rami ya kutoka Bunda mjini kwenda Kisorya mpk Ukerewe( hii barabara ni ya rami). Maeneo hayo mimi ni mwenyeji sana yaani kuanzia Bunda mjini, Tairo, Guta, Nyantare, Buzimbwe, Bulamba, Kasuguti unakunja hapo jirani na mwiseni kupitia Haruzare kwenda Ragata hapo atapakana na kijiji kingine kinaitwa Kabainja na atakuwa anaenda kijiji kinaitwa karukekere ina centre kubwa kidogo kwny gulio siku ya jumapili kwa ajili ya shopping, au achukue pikipiki kurudi mwiseni, kasuguti, nyamitwebili, mayolo( kwa Kangi Bomba), kasahunga, namibu alafu kibara( yalipo makao makuu ya wilaya ya bunda vijijini) barabara ni ya rami so akifika kasuguti magari ni mengi sana.

Awe mwangalifu tu, watu wa huko wanapenda ushirikina, ngono, disco vumbi na ugomvi. Kuna dogo mmoja wa mlimba aliajiriwa Bunda mjini miaka ya 2013, aliishonokea sana Mara, alinisumbua sana kidogo apoteze kazi. Ila amerudishwa kama utataka niwaungaishe ila huyo mwl sio mwaminifu siku hizi
Ahsante kwa mwanga kama ipo karibu na barabara kubwa bila shaka huduma muhimu kama zahanati, umeme n.k inawezekana ikapatikana kwa urahis ila hapo kwenye ushirikina mmmmh maana ndo adui wa maendeleo
 
Wilaya ni bunda dc sio mwenyej saana wa huko ila nimeangalia kwenye mitandao ni kata ya suguti shule ya msingi TAGATA sijajua ipo kijiji gani kwa huko wenyeji akina impelle watatusaidia.
Yap ni mlimba ya kilombero (ifakara) vip mzee ulikuwa mjeda nini? Maana chita ndio maeneo yao.
Karibu sana ndugu tule kitoga na perege ndio msimu wake huu
Mimi ni afisa tabibu kaka,kwa sasa nipo huku Mara,nipo jirani kabisa na Bunda..Sio mtembeaji sana kwa kweli,lakini sio sehemu mbaya kwa wageni kama inavyojadiliwa huko mikoani,ugomvi upo lakini hakuna mtu atakayekuzingua bila chanzo,Bunda ni sehemu nzuri tu kuishi,kumechangamka sana barabara kubwa ya mwanza to musoma imepita hapo..Nina jamaa yangu yeye ni afisa tabibu huko huko Bunda sikumbuki kijiji gani. Karibu kama utahitaji usaidizi wowote
 
Ahsante kwa mwanga kama ipo karibu na barabara kubwa bila shaka huduma muhimu kama zahanati, umeme n.k inawezekana ikapatikana kwa urahis ila hapo kwenye ushirikina mmmmh maana ndo adui wa maendeleo
Aje aishi ndugu yangu maadam hana ubaya na mtu hakuna kitakachompata...mimi nimefika huku nilitishwa sana hata kuingia sebuleni kwa mtu kula chakula nilikuwa sifanyi,lakini nina miaka miwili sasa,naishi kwa Amani sijawahi kupigwa wala kufanyiwa jambo lolote baya,naishi vizuri na jamii yangu,nadhan pia ni vizuri kwa kipindi ambacho ni mgeni asizoee sana wazawa,aishi nao vizuri ila atafute marafiki wageni kwanza..watu wa huku wana makandokando yao,sio wote lakini.
 
nilikuwa naona tungekuwa na uzi kwa ajili ya wakazi wa wilaya tofauti za mkoa wa Mara,humu ndani tupo watu wa kada mbalimbali na wengine tunaishi jirani bila kujuana tukiwa na platform itakuwa ni rahisi kufahamiana na kusaidiana kwenye changamoto mbalimbali
 
Back
Top Bottom