Ameomba msamaha

Brother vuta picha unaanza kumla halafu mwisho wa siku dadaake anakuja kuwafuma,halafu katika kujitetea dogo akadai ulikuwa unamsumbua tangu mda ndiosababu alikuwa anataka kuondoka. Tuachane na hayo,huyo ni mdogo wa mkeo,mchukulie kama ni mdogo wako kabisaaa yani,ni kweli unaweza kumpata ukimtaka ila inakuwa sio ubinadam kwanza unamsaliti mkeo,ndoa nyingine zishavunjika kwa style hii lakin pia hapo utakuwa hujamsaidia Yan utakuwa umechukua rushwa ya ngono,yani kumtumia kisa tu yupo kwako na ww ndio father house,kama kaka mkubwa hiyo akili yako iliyokomaa msaidie huyo dogo apate fani na yy ajipate,Mungu atakulipa mbele ya safari.
 
Kumbe nia yako kumkazia akuombe msamaha ili umtombe.eee?

Yaani ulikuwa unaona wivu akitombwa na bwana wake? Basi katombweni wote wawili.
Hahahha mkuu umenichekesha sana,kwamba jamaa alikuwa anamwonea wivu dg?
 
Acha kufananisha andazi na vitu vya ajabu, lipe heshima yake.
 

Naonza nzi anataka kufia kwenye kidonda...

Ongeza viungo na sukari, chai haijanoga vizuri...
 
Daah! Kijana mwenzetu anatuabisha.
 
UTAKOSEA SANA SANA..
Mtafutie nauli asepe. Msumbufu huyo. Atavunja ndoa yako. UTAJUTA...
 
hebu soma ulichoandika mwanzo mpaka mwisho ujitafakari
 
 
akili zishahamia kichwa cha chiniii .... kwa nia hiyo ikashindwe kabsaaa
 
Yaani usidhubutu....huo msamaha ni maelekezo dada yake huo mtego kwako....kazi unayo..usije kujaribu kumtaka shem utajutra...msamehe atatulia tu bwana atapata hapa dar mbona wajuba wengi sanaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…