Mkuu sio haraka,kabla hauja oa lazima utest kwanza kama mashine ya mwanamke iko valid.. Nyingine zimetanuka sana hapa ndio ule msemo wa kibamia unapo anzia mans kitu mshale wa mile unasoma figa kumi.. Apo sio penyeweharaka ya nini? kama una nia ya kweli oa.
kwa mujibu wa maelezo yake ameshatest ladha, kama kanogewa ni wakati wa kuchonga mzinga.Mkuu sio haraka,kabla hauja oa lazima utest kwanza kama mashine ya mwanamke iko valid.. Nyingine zimetanuka sana hapa ndio ule msemo wa kibamia unapo anzia mans kitu mshale wa mile unasoma figa kumi.. Apo sio penyewe
Mkuu unachosema ni kweli kabisa lakini tatizo watajiona warahisi sana pia sisi tutawafikilia kama marage ya mbeyaMadem wanapenda sex sana basi tu usipomjulia hata km umemuoa bado atakua anakuchenga tu
mkuu unajitoa sana MUNGU atakubarikiNIPE NAMBA YAKE NIMSHAURI
Yeaah ilo ndo tatizoMkuu unachosema ni kweli kabisa lakini tatizo watajiona warahisi sana pia sisi tutawafikilia kama marage ya mbeya
Wewe ni lopolopo sana hujuagi kutunza Siri.Mtihani ninaokutana nao kwa huyu binti ,sikuwa na nia ya kutafuta michepuko lakini itanibidi, amekuwa MTU Wa visingizio , lawama ninapokuwa namuhtaj kimapenzi (sex) kisingizio sija muoa .
Hivyo hapendezwi na kufanya nae mapenzi Mara kwa mara
Chakushangaza anatambua fika mwaka 2020 nataka kumuoa.
ila kuanzia Leo 6/9/19 nime dhamiria kutofanya nae sex (Mara kwa Mara km anavyodai yeye) hivyo itanibid kutafuta mchepuko maana nimechoshwa kumsihi swala hili. Nilishawah kumueleza na sex nae Mara kwa Mara sababu sihitaji michepuko na wala sina lakin nimeona haelewi , hivyo kwavile asikii nanyamza na kuamua kuwa na mchepuko ili nimpumzishe.
Muache akajitwalie magonjwa huko nje. Malipo ni hapahapa chini ya jua.Ukute huna future mkuu,unawaza chini tu,story zako za chini tu hadi uzi uliofungua nikulalamikia chini tu kwanini mrembo asikunyime,fanya umpe space mtoto wa watu si kumdinya tu
Cc Kingsmann
Kumbe siyo mkeo.Mtihani ninaokutana nao kwa huyu binti ,sikuwa na nia ya kutafuta michepuko lakini itanibidi, amekuwa MTU Wa visingizio , lawama ninapokuwa namuhtaj kimapenzi (sex) kisingizio sija muoa .
Hivyo hapendezwi na kufanya nae mapenzi Mara kwa mara
Chakushangaza anatambua fika mwaka 2020 nataka kumuoa.
ila kuanzia Leo 6/9/19 nime dhamiria kutofanya nae sex (Mara kwa Mara km anavyodai yeye) hivyo itanibid kutafuta mchepuko maana nimechoshwa kumsihi swala hili. Nilishawah kumueleza na sex nae Mara kwa Mara sababu sihitaji michepuko na wala sina lakin nimeona haelewi , hivyo kwavile asikii nanyamza na kuamua kuwa na mchepuko ili nimpumzishe.