Sikununu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 341
- 101
Dah! Inaniuzunisha ila ndio hivo amenikimbia na kuniacha solemba huyu mpenzi wangu kisa tu nakoroma sana.Ilikuwa kama utani mara nyingi ananiambia we sikununu unakoroma sana kama chura mda mwingine mpaka ananiamsha nikiwa usingizini nakoroma kwa raha zangu
Kusema na ukweli nilikuwa na mpango nae huyu binti baada ya kukwaruzana na kuachana na mzazi mwenzangu ambaye tumezaa hila sina mapenzi naye baada ya kunibambikia mimba hivi hivi nikiwa naona mchana kweupe ndipo binti huyu kigori aliponikubali bila hata kutumia nguvu tuishi pamoja.
Nawaomba sana wanawake msitufanyie hivi sisi tunaokoroma jamani.
Kusema na ukweli nilikuwa na mpango nae huyu binti baada ya kukwaruzana na kuachana na mzazi mwenzangu ambaye tumezaa hila sina mapenzi naye baada ya kunibambikia mimba hivi hivi nikiwa naona mchana kweupe ndipo binti huyu kigori aliponikubali bila hata kutumia nguvu tuishi pamoja.
Nawaomba sana wanawake msitufanyie hivi sisi tunaokoroma jamani.