Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 202
Mgirik,ilo nalo neno.mana ata rafk ake nmemdadis sana lakn aelew kwa nin jamaa kachuna
niPM namba yako nikuambie jambo
Mgirik,ilo nalo neno.mana ata rafk ake nmemdadis sana lakn aelew kwa nin jamaa kachuna
kama hujatunga huyo atakuwa anaudhaifu fulani hivi,,,,,,,,,,,
ni ktu cha ukwel kmentokea sio stori
Nadhani kuna behind da scene hujaisema, hiyo sababu nyepesi cna kuvunja relation, hongera kwa ujasiri wa kudai gem laivu umekuwa kiziwanda changu lol!
Jamani koku toto la kihaya bwana kakumbwela... hiyo bahati mbona wengine haitupati!
Ni Hilo jina lako labda.....
yan uwez amin,hakuna ktu chochote zaid ya ilo mana mbna tulikua vzur tu b4 kuongea ishu izo.
Haki ya nani, kuna wakati unasoma hiz hadithi za wajukuu, unahisi kama umerudi darasa la vidudu...!
Kama kajamaa kamegomea mechi na kamepewa vaction ya miezi 5 bado hakataki...kwa nini kokuobanza-G naye asianze mbele akatafuta ndege anayefanana naye??
Yawezekana dogo ni mtoto wa mchungaji na hataki kwenda motoni...lol!!
Babu DC!!
kama hana matatizo atakuwa kati ya wachache ambao wanaamini kwenye no ngono before marriage,kitendo chako cha kuomba kwenda kutoa mbwa pengine kinamfanya akuone wewe kama kicheche.
moto mbaya babu,
Acha kaka wa watu "ajitunze"
Siku hizi mtu akiamua kujitunza anainekana ZOBA!
Wajanja ni wanaogegeda kila kukicha... SMFH!
kwahiyo umalaya ndo uanaume?
kama hana matatizo atakuwa kati ya wachache ambao wanaamini kwenye no ngono before marriage,kitendo chako cha kuomba kwenda kutoa mbwa pengine kinamfanya akuone wewe kama kicheche.
kama hana matatizo atakuwa kati ya wachache ambao wanaamini kwenye no ngono before marriage,kitendo chako cha kuomba kwenda kutoa mbwa pengine kinamfanya akuone wewe kama kicheche.