Kokubanza-G
Senior Member
- Oct 2, 2013
- 111
- 23
Naomba mnisaidie.Nina boyfrend ambae tumekua wote kama miez 3 ivi.Hatujawai kuduu wala hajawai ongelea ilo suala.cku moja tukiwa outng nkamtania kua naomba penzi lake ili nimsome kama ndo walewale anazuga tuu ama vp,alchonijb ni kua tusubr mda ukfka tutaduu na akaongeza kua bado hatujapma afya.Nkamwambia sawa,yakaisha .Akanisndkza ad hom kwa furaha tu.Cha ajab frm that day akawa hapokei cm yang wala kujb sms na ni mda wa miez 5 sasa.Nlimuulza rafk ake wa karb kua tatzo ni nin,akanambia yye aliongea nae lkn jamaa alimjib kua atuache yeye na mimi tutayamaliza.we unamuelewaje?????