Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

Naomba mnisaidie.Nina boyfrend ambae tumekua wote kama miez 3 ivi.Hatujawai kuduu wala hajawai ongelea ilo suala.cku moja tukiwa outng nkamtania kua naomba penzi lake ili nimsome kama ndo walewale anazuga tuu ama vp,alchonijb ni kua tusubr mda ukfka tutaduu na akaongeza kua bado hatujapma afya.Nkamwambia sawa,yakaisha .Akanisndkza ad hom kwa furaha tu.Cha ajab frm that day akawa hapokei cm yang wala kujb sms na ni mda wa miez 5 sasa.Nlimuulza rafk ake wa karb kua tatzo ni nin,akanambia yye aliongea nae lkn jamaa alimjib kua atuache yeye na mimi tutayamaliza.we unamuelewaje?????
Nadhani kuna behind da scene hujaisema, hiyo sababu nyepesi cna kuvunja relation, hongera kwa ujasiri wa kudai gem laivu umekuwa kiziwanda changu lol!
 
mhm...sasa jamaa kaona wewe hufai kuwa wife ndio maana. ameona unapenda kugegedwa. kaona mbali yule jamaaa
 
Miezi mitano!!!!!we sa unasubuiria nini hapo!!!!!!

kuna watu wanashangaza sana hapa JF looh
 
We ulitegemea akuone vipi baada ya hiyo statement yako "naomba penzi lake ili nimsome kama ndo walewale anazuga tuu ama vp" walewale ndio akina nani? manake ushagusa za wengi sasa unataka utest na yake uone iko vipi au? ukiangalia na situation ya maisha ilivyo siku hizi hiyo statement moja kwa moja imekuweka kwenye kundi la vicheche, hata ka ni mimi ningepotezea, au kama ndio walewale basi ningekupa kwa nia ya kukuchezea tu na wala sio kukupenda wala nini, sio kila mwanaume anapenda gals wa kuingia kirahisi, mfano mimi (ni preference tu usinicriticize) napenda binti anayenisumbua sumbua kidogo, lakini anajali, sio yule mrahisirahisi tu, na kwa binti kuniomba game, kama ni mimi namuona wa ajabu sana, mawazo ya game binti unayatoa wapi hadi kufika level ya kunitamkia, unless umezoea, kwa asiyemzoefu ataogopa kusema, au aliyetulia bac ataacha itokee automatic..

MAPENZI KABLA YA NDOA UZINGUAJI TU, Kama mwanaume ntakwambia ukweli, wanaume wengi wakishamvua binti wakaenjoy, basi ile hamu na yule binti inaisha, ka sio mara moja bac mara kadhaa afu bac, atataka kuonja na kwingine...
 
huyo kashakutosa miezi mitano mingi. huenda kuna kitu anaficha au alidhani wewe muhuni kwa nini uombe penzi, wanaume wengine huwa wana kasumba lazima yeye aanze kutaka penzi so ukianza wewe unaonekana muhuni
 
Hahaha, shake well before use... naona chupa imegoma kutolewa kwenye box. lara 1 uko wapi, mwenzi kamnyimwa mambo huku
 
Last edited by a moderator:
Naomba mnisaidie.Nina boyfrend ambae tumekua wote kama miez 3 ivi.Hatujawai kuduu wala hajawai ongelea ilo suala.cku moja tukiwa outng nkamtania kua naomba penzi lake ili nimsome kama ndo walewale anazuga tuu ama vp,alchonijb ni kua tusubr mda ukfka tutaduu na akaongeza kua bado hatujapma afya.Nkamwambia sawa,yakaisha .Akanisndkza ad hom kwa furaha tu.Cha ajab frm that day akawa hapokei cm yang wala kujb sms na ni mda wa miez 5 sasa.Nlimuulza rafk ake wa karb kua tatzo ni nin,akanambia yye aliongea nae lkn jamaa alimjib kua atuache yeye na mimi tutayamaliza.we unamuelewaje?????

Ulimtania au ulitaka? We nawe!
 
kama hana matatizo atakuwa kati ya wachache ambao wanaamini kwenye no ngono before marriage,kitendo chako cha kuomba kwenda kutoa mbwa pengine kinamfanya akuone wewe kama kicheche.

Kweli kabisa
Hiv y usingekaa kimya tu my dia kokubanza-G....no wonder ameku-define tofauti
#team # no uzinzi/uasherati till ndoa
 
We ulitegemea akuone vipi baada ya hiyo statement yako "naomba penzi lake ili nimsome kama ndo walewale anazuga tuu ama vp" walewale ndio akina nani? manake ushagusa za wengi sasa unataka utest na yake uone iko vipi au? ukiangalia na situation ya maisha ilivyo siku hizi hiyo statement moja kwa moja imekuweka kwenye kundi la vicheche, hata ka ni mimi ningepotezea, au kama ndio walewale basi ningekupa kwa nia ya kukuchezea tu na wala sio kukupenda wala nini, sio kila mwanaume anapenda gals wa kuingia kirahisi, mfano mimi (ni preference tu usinicriticize) napenda binti anayenisumbua sumbua kidogo, lakini anajali, sio yule mrahisirahisi tu, na kwa binti kuniomba game, kama ni mimi namuona wa ajabu sana, mawazo ya game binti unayatoa wapi hadi kufika level ya kunitamkia, unless umezoea, kwa asiyemzoefu ataogopa kusema, au aliyetulia bac ataacha itokee automatic..

MAPENZI KABLA YA NDOA UZINGUAJI TU, Kama mwanaume ntakwambia ukweli, wanaume wengi wakishamvua binti wakaenjoy, basi ile hamu na yule binti inaisha, ka sio mara moja bac mara kadhaa afu bac, atataka kuonja na kwingine...

Exactly!!! Ndo maana chovya chovya haziishi,halafua anakuja kuoa kwingine ambako hajachovya

#Team #no uzinzi/uasherati till ndoa
 
Kwanza kwa kuweka kumbukumbu sawa rekebisha kauli dada yangu, usiseme ulimtania sema ulidai haki yako, Hukuwa na kosa hapo, ilikuwa ni kujipangia muda wa kwenda kupima na akusaidie 'matatizo' yako. Hakika ninaloliona hapo ni kuwa huyo jamaa hakuwa na penzi la kweli alikuwa anakutafutia timing au 'binduki' yake ina mushkeri. Angalia mbele, siamini kama kachuna ni kuwa ameshakukimbia, miezi 5? Hajachuna huyo ameshakata kona.


hiv kauli ya kusema rekebisha kauliyako ishakuwa habari ya mjin kama alitakiwa adai haki yake na hakupewa si umshauri akashtaki au aende kwa linex anae ijua mahakama yamapenzi ilipo.mnaboa kinoma!
 
Miezi mitano!!!!!we sa unasubuiria nini hapo!!!!!!

kuna watu wanashangaza sana hapa JF looh

hiv wewe kila mada unapinga ushaona dili taiz hizo mwachie ney wamitego ! free to look but to touch will cost u !
 
Miezi mitano!!!!!we sa unasubuiria nini hapo!!!!!!

kuna watu wanashangaza sana hapa JF looh

duh!! ndo kusema wewe wiki ya kwanza tu ulitiwa nyavuni?

mvuvi wako inaonekana alikuwa hodari sana!!

hii sisi tunaiita 'free kick'
 
Back
Top Bottom