Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

haya mkuu ww endelea kusubir hadi ndoa ujikute unauziwa mbuz kwenye gunia au utakutana na two sex! Sk hz majanga lazma "shake before use"

hata kwa mchezaji ili aweze kupendwa na timu nyngi lazma ahudhulie mazoez mara nyingi na acheze mechi vzr uwanjani

Hahaaaaa..
Huyo ndo kanuni yako e!
 
mwenzenu anataka kuficha na kutunza bikra yake hadi ndoa, nyie mnamshambulia.
 
mi 26 ye 30
mimi nachokushauri koku uache tamaa ya kufanywa fanywa matusi,jenga tabia ya kufuata mungu vile alisemaga kuwa zinaa ni dhambi,tamaa zako zitakupeleka motoni.

Hiyo kitu ipo tu,it is not as if nanilii itapata kutu or something kama haifanywi.
 
mimi nachokushauri koku uache tamaa ya kufanywa fanywa matusi,jenga tabia ya kufuata mungu vile alisemaga kuwa zinaa ni dhambi,tamaa zako zitakupeleka motoni.

Hiyo kitu ipo tu,it is not as if nanilii itapata kutu or something kama haifanywi.
Nilichokiobserve zaidi ni bayaznes ya wadau thread kama hii angeanzisha men with da same content angeshambuliwa bt kwa kuwa ni wakike men anaonekana zoba tena, kwa mwanaume 30yrs kuna jambo la zaidi kwa mleta thread ingawa ni weakness kubwa mwanaume kushindwa kuwa wazi kwe mahusiano yoyote.
 
Hahaaaaa..
Huyo ndo kanuni yako e!

sio kwamba ni kanuni ila hivyo ndivyo ilivyo! Najua hata mwenyew hapo ulipo kama unamchumba wako umeshamwonja tayar........hvyo alivyofanya huyo jamaa wa mtoa maada ilikuwa kizazi cha miaka ya 1980 kurudi nyuma lakn hivi vzaz vyetu vya nyoka game kwanza ndoa baadae
 
jamaa atakua kwenye group moja na wakna Elton jonh maana akuna mtoto wa kiume yoyote akakataa kuramba sukarii
 
hajauchuna ila alienda kukata mkono wa sweta....hahahaha
 
sio kwamba ni kanuni ila hivyo ndivyo ilivyo! Najua hata mwenyew hapo ulipo kama unamchumba wako umeshamwonja tayar........hvyo alivyofanya huyo jamaa wa mtoa maada ilikuwa kizazi cha miaka ya 1980 kurudi nyuma lakn hivi vzaz vyetu vya nyoka game kwanza ndoa baadae

haha we Mgirik, sisi wa zamani ndo wabaya kuliko nyie kizazi cha nyoka. Ila binafsi sifagilii... hapa ni #Team hakuna kuzini hadi ndoa...
 
Last edited by a moderator:
haha we Mgirik, sisi wa zamani ndo wabaya kuliko nyie kizazi cha nyoka. Ila binafsi sifagilii... hapa ni #Team hakuna kuzini hadi ndoa...

mm mwenyew nakubaliana na ww wale wa zaman ni nouma kwasababu zaman hayakuwepo malalamiko kama ya sk hzi......sk hzi masharobaro kimoja tu chalii tena dk 2 tu
 
Last edited by a moderator:
mimi nachokushauri koku uache tamaa ya kufanywa fanywa matusi,jenga tabia ya kufuata mungu vile alisemaga kuwa zinaa ni dhambi,tamaa zako zitakupeleka motoni.

Hiyo kitu ipo tu,it is not as if nanilii itapata kutu or something kama haifanywi.

Toka hapa ....we ulisubiri? kwanini umshauri mwenzio kitu ambacho we ulishindwa??
 
Nina uhakika 100% huyo jamaa si RIJALI. Usipoteze muda wako tafuta mwanaume alokamilika!
 
hivi kuna wanaume wanaosusaga vipochi manyoya!!!
 
Nina uhakika 100% huyo jamaa si RIJALI. Usipoteze muda wako tafuta mwanaume alokamilika! ukishindwa ni PM!
 
Back
Top Bottom