Ameniacha natamani kwenda kwa mganga

Ameniacha natamani kwenda kwa mganga

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
522
Reaction score
630
Habari za jioni wana MMU,

Huyu mwanamke nmemuudumia sana, amekula pesa zangu mwisho wa siku kaniacha hata penzi sijaonja. Kaniambia live kuwa hakuwahi kunipenda wala kufikiria so alikuwa ananichezea na kunilia pesa zangu nataka niende kwa mganga ajirudishe kwangu nipige papuchi ndio tuachane.

Je, hii sio hatari kwake na kwangu
?
 
Ukienda kwa mganga, mganga atamteka yeye na atamkula yeye sio wewe.

Mbona wewe mwenyewe mganga ukiamua.

Kwanza hela zenyewe shilingi ngapi hadi sasa umempa?????

Wewe ulikuwa na vipesa vya fanta tu ndio maana ameshindwa hata kupritend, ungekuwanazo asingekutamkia zaidi angepritend na papuch ungekula.

Tafuta hela tena nenda kamuonge, uwe unampa laki na zaidi ndio utawin.
 
ze keke

Kula kona kijana,hajatulia hiyo, angetulia angekuwa na wewe
 
Last edited by a moderator:
ze keke

Akili yako inakuambiaje kwani?
 
Last edited by a moderator:
Uende kwa mganga ukafanye nini?
na mganga nae atakula kuliko izo
 
Hakuna suluhu hapo yaache mambo yaende kama yalvyo kuja tena shukur huwez jua pengne umeepuk nin, ck zote mpangaji ni MUNGU na c binadam.
 
Hakuna suluhu hapo yaache mambo yaende kama yalvyo kuja tena shukur huwez jua pengne umeepuk nin, ck zote mpangaji ni MUNGU na c binadam.

Umeongea sahihi, afunike kombe tu, malaya apite
 
Inaelekea tecnic za kumteka mwanamke kimapenz huna... Ungemuita siku moja ukampa mambo.. People fall in love in mysterious ways.. Pengine busu lako tu lingemfanya akupende
 
Nawa Mikono, sepa! Achana na huyo mtu, utajikuta umepoteza muda na fedha nyingi endapo utamfuatilia wakati huo muda ungeutumia kumtafuta mwanamke mwingine. Achana nae, papuchi kitu gani, mbona ziko nyingi?
 
ze keke

Pole, ulidhani mapenzi ni pesa? Wajinga ndio waliwao, ukienda kwa mganga naye atakula pesa zako na utageuzwa teja wa waganga.

Kuachwa chukulia kuwa ni shule ya kukusaidia mbele ya safari.

Vv
 
Last edited by a moderator:
ze keke

Duuh, ngoma droo kumbe ulikuwa unataka kupiga papuchi tuu baas, nayeye alikuwa anataka kukupiga hela tuu baas, kweli aliyeuziwa cheni katoa hela bandia, na aliyepokea hela katoa cheni bandia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom