Ameni-dump kwa mara ya pili

Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.

Hivi kinachokusumbua ni nini? Mbona wanaume tuko wengi? Mchunie huyo fa.la, anakuona gunia la mazoezi aka kipoozeo pale anapokuwa hana mtu amtakae, mmwage uendelee na yako na isikuume kabisa labda kama unataka kuendelea kutuletea post zaidi kuhusu maumivu atakayokusababishia.
 
AND GAY PEOPLE LIKE THE ONE IM QUOTING! Stay away from me FAG!
gay ni huyo danga wako ambaye amemnunua kahaba na anaogopa kumgonga....ila kuna watu umalaya upo kwenye DNA aisee..yani hivi vitu ni vya kujisifu kwelii??...nwei we endelea kuwalia pesa hao machoko tu ila usiombe siku ukutane na na mziki wa 3 LEGS..ndo itakuwa mwisho wa career ya umalaya
 

Mchicha mwiba na wewe kelele nyingiii. Sasaaaa ulitakaje? Binua kiboga akuchomeke mti na wewe basi huyo danga kama unaona mimi nafaidi sanaaa. Maana dume zima unawaza madanga! Nduku mbwambwa weeeeeeee.:becky:
 
Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.
Khaa!! Unajiheshimu au unajinyima raha na uzoefu? Subiri semina nyingine. '' practice makes perfect"
 
Mchicha mwiba na wewe kelele nyingiii. Sasaaaa ulitakaje? Binua kiboga akuchomeke mti na wewe basi huyo danga kama unaona mimi nafaidi sanaaa. Maana dume zima unawaza madanga! Nduku mbwambwa weeeeeeee.:becky:

Teh teh teh teh..oya naingia church now..mida kama vipi..
 
Kiroho safi tu nikuulize, hivi kwanini kama mtu anakukera usipite kimya tu?
Kwanini umalaya wake ukuumize wewe, una maslahi nae?
 
Teh teh teh teh..oya naingia church now..mida kama vipi..

Jamaaniiiiiiiiii eeeeeeeeeeeeeh, mendeeee, rojo la mombasa hili hapa halina mwenyewe. Tena leo linafanya promotion.
 
Kiroho safi tu nikuulize, hivi kwanini kama mtu anakukera usipite kimya tu?
Kwanini umalaya wake ukuumize wewe, una maslahi nae?

Ananitaka huyooo si bureee, kibaya zaidi sifagilii MICHICHA MIBA, nampotezeaa tu, ndo maana povu haliachi kumvuja tundu zote saba za mwili.:becky:
 
Kwa kuwa ulikaa miaka miwili bila kugegedwa, huoni kuwa jamaa kukusaidia coz ulikua na ugwadu sana!??
 
Wewewewe usiwaseme vibaya machangudoa wasije wakagoma, wanatusaidia sana mkituwekea gubu nyumbani. Na zaidi they are safe.
 
Kiroho safi tu nikuulize, hivi kwanini kama mtu anakukera usipite kimya tu?
Kwanini umalaya wake ukuumize wewe, una maslahi nae?
Acha vita iendelee tufaidi na popcon mkononi. Kuna mtu hapo mwanzo alisema mtanange umeanza sikumwelewa.
 
afadhali leo analalamika mwanamke siku mbili zilizopita hali haikuwa nzuri kwetu.
 
Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.

Haijalishi hata km ungekaa miaka 10 bila kuliwa kitendo cha jamaa kukuacha kwenda kuoa ikiwa ww ndo ulianza nae leo anakuletea hadith naww ukampa tena mzigo watu timamu wanakushangaa ndio sababu yahuyo jamaa kukuita Pombe ya ngomani msome vzr utaelewa
 
Halafu watu cjui hawaelewi au nivipi ukweli nihuu Mapenzi yakweli niyale ya mwanzo lkn mkipoteana then mkutane uctegemee kuwa km zamani huwa naangaliaga hata ushauri mwingi unaotolewa humu khs watu waliotemana Kuwaambia warudiane fyn mnaweza kurudiana lkn hakuta Kuwa na mapenz mtaishi kwa mazoea tu,,nakuckitikia ww mdada hata km huyo jamaa angekurudia kweli lkn ucngefurahia mapenzi Mapenz yanakuwaga matam pale ambapo kila mmoja hajui mapungufu ya mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…