Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,276
Walikuwa na matarajio ya ndoa ....pande zote mbili za wazazi zinajuana ......na alikuwa akirudi aje atoe posa kwa huyu binti.....ila akajikuta anazuzuka na mtu wa facebook akamsahau. Anyway sie twaangalia tu.
wanaume washajua many girls are desperate na kuolewa ndio maana wanatumia techniques kibao kumbe hamna kitu