Amelaaniwa na mke wake, ameanza kuwa chizi

Amelaaniwa na mke wake, ameanza kuwa chizi

Miaka ileeee ya Enzi za Radio Tanzania (RTD) kulikuaga na mchezo wa radio unaitwa Radhi ya mke, wahusika walikua ni kina mzee Jongo na sijui kwanini nao walianzia maisha kwenye UVUVI wa samaki huko huko. Umenikumbusha mbali sana mkuu.
 
Ni habari yakusikitisha sana kwa wote binti na huyo bwana ben. Lakini kwa kupitia mtandao huu huu kuna visa vingi sana vya wanawake wanaowatenda waume/marafiki zao baada ya kusaidiwa kama kusomeshwa, kutafutiwa kazi, nk. Je, kuna yeyote mwenye taarifa ya nini kinawapa wanawake waliowasaliti wapendwa wao baada ya kuwawezesha kimaisha? Itakuwa vizuri na hao tukawajua huenda ikatufundisha kitu kama tunavyojifunza kupitia kwa Ben.
Wanaume mara nyingi husamehe ndio maana laana huwa haiwi kali kwa mwanamke japo mara nyingi wanawake hao ukifuatilia sana utashuhudia laana inavowatafuna ktk maisha yao. Mara nyingi laana huwa kali ikiambatana na matamshi na kinyongo. Maneno yanaumba; Wanaume mara nyingi si wapenzi wakutamka maneno ya laana ukilinganisha na wanawake, ndio maana wanawake wanaolaaniwa na waume zao ni wachache ukilinganisha na wanaume. Ieleweke wazi kuwa laana haichagui jinsia. Hata ukija kuniibia mali zangu na endapo nitasononeka sana ndani ya roho yangu basi mwizi hatafika mbali ktk maisha yake. Hii ni kanuni ya dhambi, no sin goes unpunished.
 
Unapaswa kuelewa hakuna atendaye hila awe me au ke akaacha kupata malipo ya hila zake.
Upo sahihi mkuu. Wengine wanaita Karma na wengine wanaita kanuni ya dhambi na wengine wanasema lolote utendalo wajitendea mwenyewe na nafsi yako. Hayo yote ni kweli.
 
Wanaume mara nyingi husamehe ndio maana laana huwa haiwi kali kwa mwanamke japo mara nyingi wanawake hao ukifuatilia sana utashuhudia laana inavowatafuna ktk maisha yao. Mara nyingi laana huwa kali ikiambatana na matamshi na kinyongo. Maneno yanaumba; Wanaume mara nyingi si wapenzi wakutamka maneno ya laana ukilinganisha na wanawake, ndio maana wanawake wanaolaaniwa na waume zao ni wachache ukilinganisha na wanaume. Ieleweke wazi kuwa laana haichagui jinsia. Hata ukija kuniibia mali zangu na endapo nitasononeka sana ndani ya roho yangu basi mwizi hatafika mbali ktk maisha yake. Hii ni kanuni ya dhambi, no sin goes unpunished.

Mkuu umetoa ufafanuzi mzuri sana kwa wenye tabia za kukosa fadhila kwa kuwatendea maovu wale waliojitoa kwa ajili yao.
 
Dah ila wanaume mnajua kutuumiza sana.
Nakumbuka kuna mdada alichukua mil 30 akampa mpenzi wake ili anunue kiwanja waanze kujenga. Kumbe mwenzake anafanya manunuzi na mwanamke mwingine.......kuja kujua dada ameomba arudishiwe hela yake mpaka sasa haijarudishwa.......

Sasa nawaza je huyu mkaka atapata laana?
 
Da inasikitisha sana tatizo watu husahau walikotoka ukipendwa pendeka ukitendewa mema nawe tenda mema. Bora yupo hai mnamuona kuna mkoa niliwahi kuishi wao ukiwatenda hivyo wanakutanguliza chini haraka kuna mdada alimsaidia mchumba wake kumlipia ada ya chuo ili waje kuish wote na walikuwa wamezaa mtoto mmoja cha ajabu yule kaka alipomaliza chuo alimkataa huyo dada na kuoa mwingine hakucheleweshwa .

Wanasema "UKIPENDWA PENDWA, UTAKUJA KUPENDA USIPOPENDWA".
 
Dah ila wanaume mnajua kutuumiza sana.
Nakumbuka kuna mdada alichukua mil 30 akampa mpenzi wake ili anunue kiwanja waanze kujenga. Kumbe mwenzake anafanya manunuzi na mwanamke mwingine.......kuja kujua dada ameomba arudishiwe hela yake mpaka sasa haijarudishwa.......

Sasa nawaza je huyu mkaka atapata laana?

kupenda huko kunatakiwa kwenye ndoa ili mkivurugana,mnagawana pasu kwa pasu, ila kama ni hizi za bebi bebi lazima walizwe
 
Yule binti alilia Sana, hadi akataka kujiua, Kwa busara ya mama yake mzazi na sisi shemeji zake akawa ametulia na mama yake akawa amempatia pesa za kufuatilia vyeti vingine,

Nijuavyo mimi cheti hakitolewi mara mbili, labda tu apewe uthibitisho kuwa alisoma hapo
 
Hapo huwezi jua kuhusu baba wa bint, kumbuka hakutaka kabisa bintye aolewe na ben, pia aliibiwa pesa na bint halafu wakaenda kuishi kama mke na mme huku mzee akiwa na hasira ya mtt hakumsikiliza na pia amemuibia pesa na alie sababisha ni tule asikuwa anamtaka amuowe bintye,so mzee inawezekana kafanya manjonjo kwa mkwelima ili awe hivyo kwa nia ya kumukomesha na kama mzee alikuwa msukuma mhuu!!!nahisi sjakosea ni kawida sana kufanyiwa hivyo.
Cha kufanya bint asimulaum ben ,arudi haraka kwa mzee amuombe msamaha sana sana ila awe na msimamo ule ule kuwa ben anampenda sana hatomuacha ili mzee afanye yake na pia walijishau kipind wamewini wangemrudishia mzee mpunga wake zile 20m nazana bena asingepata hayo majanga
 
kupenda huko kunatakiwa kwenye ndoa ili mkivurugana,mnagawana pasu kwa pasu, ila kama ni hizi za bebi bebi lazima walizwe
Walikuwa na matarajio ya ndoa ....pande zote mbili za wazazi zinajuana ......na alikuwa akirudi aje atoe posa kwa huyu binti.....ila akajikuta anazuzuka na mtu wa facebook akamsahau. Anyway sie twaangalia tu.
 
Back
Top Bottom