Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,588
Jamaa kadandia mtumbwi wa mdangaji anaetumia mgongo wa dini kudanga hadi kwa wachungaji, acha yamkuteamefanya nae kama mara tano tu nyumbani kwake maana mtumishi anaishi mwenyewe familia
Jamaa kadandia mtumbwi wa mdangaji anaetumia mgongo wa dini kudanga hadi kwa wachungaji, acha yamkuteamefanya nae kama mara tano tu nyumbani kwake maana mtumishi anaishi mwenyewe familia
Ulisikia wapi mdangaji ana mara ya mwisho? Huyo manzi kwa mujibu wa maelezo ni mdangaji hakuna kwamba anafanya huruma (mama huruma) kumpa papa mchungaji wala nini jibu rahisi ni anadangakwa utetezi wake akadai mara ya mwisho wamefanya na mchungaji kama miezi mitatu iliyopita baada ya ibada
Mdangaji anaacha ulisikia wapi? Huyo ataendelea kupigwa mb*o na mchungaji tu haijalishi yupo na naniIla sasa ameamua kumuacha huyo mchungaji rasmi na kuwa na jamaa, japo mshikaji majuzi kaona meseji ya mchungaji kwa binti akimwambia nakupenda sana ila binti hajajibu lolote.
Ushauri ni huu amuache huyo mdangaji aendelee kudanga asije akaja kutuletea uzi mwingine humu wa kuomba kushauriwa kuhusu mimba ya mchungaji, piga chini huyo mdangaji tafuta mwingineAnaomba ushauri
Hakuna kwenda kunitambulisha achana na huyo mdangaji aisee utajuta huko mbele,maana hivi karibuni mwezi wa saba alitaka kwenda kujitambulisha
Unasikilizia nini? Unataka kufa kwa presha kisa nini? Ukigundua meseji zingine akimuelezee ya Ndani zaidi jinsi mchungaji anavyomfukua mt*ro ndio utafurahi na roho yako au sio?asikilizie kwanza kwa miezi kadhaa kama kweli ameachana na mchungaji wake
Hakuna kitu km hicho mkuu ng'atuka hapo utaja bebeshwa mimba na mtoto wa mchungaji, mlamba asali halambi mara moja na hua hana mwisho, huyo kashalamba mb*o ya mchungaji hatoacha kamwejapo anadai anampenda sana huyo binti na binti ameomba asimuache bali amsaidie ili aweze kutoka kwenye hiyo hali maana na yeye haipendi
Buhahaha kuokoka? Kuokoka kupi na huku anagongwa na mchungaji hivi mnafikiri kuokoka ni maigizo? Unaokoka huku unazini na mchungaji? Does it make sense? Au ndio staili yao ya kuokoka hio wanaokoka alafu wanakua vyakula vya wachungaji?Pia binti anasema kuokoka ameanzia hapo kwa huyo mchungaji wakati wakiwa mkoani
Kwa hio mchunga amekua akimt*mba kwa muda mrefu km miaka 4 sasa, haya hadi hapo hujashtuka tu kwamba huyo Malaya anadanga?kwahiyo mchungaji amekuwa kama mlezi wake kwa muda mrefu kama miaka minne sasa.
Mwambie jamaa yako (kama siyo wewe lakini), ampige marufuku huyo binti kusali kwenye hilo kanisa la huyo mchungaji!Jamaa yangu amenieleza jambo nimeshindwa kumjibu chochote nisije nikakosea kumshauri akanilaumu hapo baadae.
Iko hivi, huyu bwana ana mahusiano na msichana wake takribani miezi sita sasa. Anasema anampenda sana huyo msichana na msichana anampenda jamaa sana kiasi kwamba ameshawishika ikiwezekane aje kuwa mke.
Katika mahusiano yao amekuwa akimdodosa kujua kama huyo msichana ameshakuwa na mchumba kabla au mwanaume mwingine kabla yake kwa hapa Dar, msichana kasema hajawahi kuwa na mwanaume toka afike Dar mwaka wa pili sasa, akamuuliza kwanini akasema kwasababu aliamua kuokaka na anasali kanisa moja la kilokole maeneo ya kinyerezi-kifuru japo jamaa hajawahi kufika hapo kanisani. Jamaa akafurahi sana kwamba hapa nimepata mke sahihi.
Lakini baadae akawa anamtilia mashaka kwamba mbona anaonesha kuwa ana mawasiliano ya siri sana na mtu asiyemjua, alipo kuja kumbana haswa na kumtishia kumuacha akakiri kuwa alikuwa akitembea na Mchungaji wake ila aliona hatia moyoni mwake kutembea na mchungaji akaamua kumuacha japo mchungaji anaendelea kusumbua.
Akamuuliza ulianza nae lini na umemuacha lini ili ajue wanawasiliana kama mpenzi au kama mtumishi wake tu maana wanawasiliana mara kwa mara na mchungaji wake mpaka usiku maana binti anaimba kwaya na anahusika hapo kanisani kwa shughuli zingine za kanisa.
Anasema akadai kwamba amekuwa nae toka akiwa mkoani miaka miwili iliyopita huyo mchungaji ana kanisa huko mkoani nae alikuwa anasali hapo. Pia amefungua lingine huku Dar, Binti yeye alitangulia kuja dar kwa shughuli zake za kutafuta maisha ndipo mchungaji alihamia Dar akafungua kanisa nakuwatafuta watu wake aliokuwa nao mkoani ili waendeleze kanisa ndo akamtafuta na yeye.
Pia akadai kuwa mchungaji amekuwa akimlazimisha tu kufanya hivyo japo yeye hapendi na amefanya nae kama mara tano tu nyumbani kwake maana mtumishi anaishi mwenyewe familia yake yaani mke na watoto amewaacha mkoani huwa anaenda na kurudi, kwa utetezi wake akadai mara ya mwisho wamefanya na mchungaji kama miezi mitatu iliyopita baada ya ibada ofisini kwake kwasababu alimlazimisha tu akashindwa kukataa. Ila sasa ameamua kumuacha huyo mchungaji rasmi na kuwa na jamaa, japo mshikaji majuzi kaona meseji ya mchungaji kwa binti akimwambia nakupenda sana ila binti hajajibu lolote.
Anaomba ushauri aendelee na mipango yake maana hivi karibuni mwezi wa saba alitaka kwenda kujitambulisha au asikilizie kwanza kwa miezi kadhaa kama kweli ameachana na mchungaji wake, au amteme tu, japo anadai anampenda sana huyo binti na binti ameomba asimuache bali amsaidie ili aweze kutoka kwenye hiyo hali maana na yeye haipendi Pia binti anasema kuokoka ameanzia hapo kwa huyo mchungaji wakati wakiwa mkoani, kwahiyo mchungaji amekuwa kama mlezi wake kwa muda mrefu kama miaka minne sasa.
Je atafanikiwa kuachana na huyo mchungaji.?
Ushauri wenu tafadhali.
Hadi wewe unamiminiwa pia na mchungaji wako?Kwani huyo tu... mbona wengi tu wanamiminiwa upako wa ujiuji through papuchi zao
Piga chini mapeeema sana hakuna mke wala mchungaji wote wazinifu tuAnasema akadai kwamba amekuwa nae toka akiwa mkoani miaka miwili iliyopita huyo mchungaji ana kanisa huko mkoani nae alikuwa anasali hapo.
Usioe mke wa mtu,tafuta wako.Jamaa yangu amenieleza jambo nimeshindwa kumjibu chochote nisije nikakosea kumshauri akanilaumu hapo baadae.
Iko hivi, huyu bwana ana mahusiano na msichana wake takribani miezi sita sasa. Anasema anampenda sana huyo msichana na msichana anampenda jamaa sana kiasi kwamba ameshawishika ikiwezekane aje kuwa mke.
Katika mahusiano yao amekuwa akimdodosa kujua kama huyo msichana ameshakuwa na mchumba kabla au mwanaume mwingine kabla yake kwa hapa Dar, msichana kasema hajawahi kuwa na mwanaume toka afike Dar mwaka wa pili sasa, akamuuliza kwanini akasema kwasababu aliamua kuokaka na anasali kanisa moja la kilokole maeneo ya kinyerezi-kifuru japo jamaa hajawahi kufika hapo kanisani. Jamaa akafurahi sana kwamba hapa nimepata mke sahihi.
Lakini baadae akawa anamtilia mashaka kwamba mbona anaonesha kuwa ana mawasiliano ya siri sana na mtu asiyemjua, alipo kuja kumbana haswa na kumtishia kumuacha akakiri kuwa alikuwa akitembea na Mchungaji wake ila aliona hatia moyoni mwake kutembea na mchungaji akaamua kumuacha japo mchungaji anaendelea kusumbua.
Akamuuliza ulianza nae lini na umemuacha lini ili ajue wanawasiliana kama mpenzi au kama mtumishi wake tu maana wanawasiliana mara kwa mara na mchungaji wake mpaka usiku maana binti anaimba kwaya na anahusika hapo kanisani kwa shughuli zingine za kanisa.
Anasema akadai kwamba amekuwa nae toka akiwa mkoani miaka miwili iliyopita huyo mchungaji ana kanisa huko mkoani nae alikuwa anasali hapo. Pia amefungua lingine huku Dar, Binti yeye alitangulia kuja dar kwa shughuli zake za kutafuta maisha ndipo mchungaji alihamia Dar akafungua kanisa nakuwatafuta watu wake aliokuwa nao mkoani ili waendeleze kanisa ndo akamtafuta na yeye.
Pia akadai kuwa mchungaji amekuwa akimlazimisha tu kufanya hivyo japo yeye hapendi na amefanya nae kama mara tano tu nyumbani kwake maana mtumishi anaishi mwenyewe familia yake yaani mke na watoto amewaacha mkoani huwa anaenda na kurudi, kwa utetezi wake akadai mara ya mwisho wamefanya na mchungaji kama miezi mitatu iliyopita baada ya ibada ofisini kwake kwasababu alimlazimisha tu akashindwa kukataa. Ila sasa ameamua kumuacha huyo mchungaji rasmi na kuwa na jamaa, japo mshikaji majuzi kaona meseji ya mchungaji kwa binti akimwambia nakupenda sana ila binti hajajibu lolote.
Anaomba ushauri aendelee na mipango yake maana hivi karibuni mwezi wa saba alitaka kwenda kujitambulisha au asikilizie kwanza kwa miezi kadhaa kama kweli ameachana na mchungaji wake, au amteme tu, japo anadai anampenda sana huyo binti na binti ameomba asimuache bali amsaidie ili aweze kutoka kwenye hiyo hali maana na yeye haipendi Pia binti anasema kuokoka ameanzia hapo kwa huyo mchungaji wakati wakiwa mkoani, kwahiyo mchungaji amekuwa kama mlezi wake kwa muda mrefu kama miaka minne sasa.
Je atafanikiwa kuachana na huyo mchungaji.?
Ushauri wenu tafadhali.