Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
sasa wewe c ndo umeona tangazo nadhani ungeenda kwenye uwo mkutano ukashuhudie mwenyewe.Jana nikuwa jijini Mwanza nikapita viwanja vya furahisha nikaona matangazo na maandalizi ya mahubiri yatakayoanza j'tano. Kilichonivutia ni kwamba nikaona picha ya binti anayedaiwa kuwa alikufa na sasa amefufuka kwa maombi. Nauliza, hizi habari ni kweli au ni uzushi tu?