Amechoka kutendwa anahitaji mume


Nawe umenikatisha stimu kweli. Kumbe umeolewa? Agrrrrrrrrr!
 
heee chrispin my dear, harufu ya libeneke??!!! what is that😕

Ushaingia choo cha uswazi, pasipoti saizi mlango gunia? Sasa upishane na jitu lililotoka kunywa mnazi limetoka kumwaga koj.o! LOL!
 
Thats my mamushka! Always there for biggie! tena hujamalizia vizuri bado........Wa kufa na kuzikana.

yeah!!! sio anavamia vamia tu eti haya Xpin ushindwe mwenyewe as if ulioma msaada wa kutafutiwa
hata ingekuwa unataka ndo wa hivi sasa
puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!! aaaaah mambo mengine bana!!!
 
Mbona simu inaita tuu? Wacha nikuulizie hapa hapa.....tiGo inapatikana? weka picha kwenye PM ukiwa unaonyesha Mgongo tuanzie hapo kabla sijajicomit, kwa kuwa hujazuia pombe tutaelewana!

mgongo wa samaki???
 
yeah!!! sio anavamia vamia tu eti haya Xpin ushindwe mwenyewe as if ulioma msaada wa kutafutiwa
hata ingekuwa unataka ndo wa hivi sasa
puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!! aaaaah mambo mengine bana!!!


shem mbona atuambizani kama ww na xpin mambo fulani
 
omba omba hawa siku hizi wana style nyingi.
now anawinda mwanaume. mi simo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…