Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,195
Familia yenu itakuwa na mambo Hayakubaliki kwenye Familia yake,Ndio maana wamemshawishi Ila jamaa hana msimamo kanikera sana!!Kivipi? Sijakuelewa.
Familia yenu itakuwa na mambo Hayakubaliki kwenye Familia yake,Ndio maana wamemshawishi Ila jamaa hana msimamo kanikera sana!!Kivipi? Sijakuelewa.
Hitimisho hili limenifunza kwamba watu wanabadilika muda wowote Dada yangu. Huyu kijana huwezi kumdhania. Sikutegema kwamba tungefikia mwisho wa namna hii.Sasa haya ndio maamuzi ya ki super woman. Hesabu hasara tulizana. Tafuta pesa mammy wanaume ni washenzi tuu.
Dada hapo hujaelewa nini tena?Salaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Mungu akubaruki. Hili ni sawa na jambo usilolijua...Wewe dada nahisi nakufahamu lakini potelea mbali
Ni hivi kijana muoaji hawezi kuja hapo kubargain mahari, na baba yako anataka muoaji aongozane na Baba yake,
Ambapo baba wa muoaji alifika na akaishia njiani kusubiri kama mtabadili mawazo na kumpokea sasa
Mzee kaamua kuondoka kwenda kuendeleza miradi yake na kasema Dunia imezaa hawawezi kosa mwanamke
Shukrani. Point takenDada hapo hujaelewa nini tena?
Unataka kuolewa na mtu asiyekuhitaji?
Kama umeshaona mahusiano yamevurugika na kijana hana mpango tena wa kutaka kuja kukuoa, maana yake hakuna tena ndoa. Usilazimishe sana akwambie kila sababu, vingine ni siri za moyo wake au siri za familia yake, usichimbe sana.
Nini ufanye sasa?
Jipange kutafuta mahusiano mapya na kijana mwingine, huyo sio wa kwako tena.
Note
Kama huyo kijana alishakupiga miti mara kadhaa, kuna uwezekano mkubwa sana ikawa ndio sababu ya kukuacha. Usiniulize kwa nini.
wananzengoborn at 1970 sasa embu tueleze kuhsu umri kwanzaView attachment 2265171
Hao ndio wanaume. Sasa tulia kabisa unaweza kuta alikuwa anawachanganya wote. Kwa sasa kubaliana na hiyo dissapointment but usikurupuke kuingia kwenye mahusiano mengine.Hitimisho hili limenifunza kwamba watu wanabadilika muda wowote Dada yangu. Huyu kijana huwezi kumdhania. Sikutegema kwamba tungefikia mwisho wa namna hii.
Mie ndio maana sitaki kabisa mambo ya mapenzi unaishia kuumizwa tuu....bora ule mbususu tuuMapenz bhana☹️
Wameachwa wengi kwa style hio... Shukuru unapumuaSalaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Hivi kumbe,Mchumba nae ni Mkuu!!
Ya kimaku sana...ona sasa mdada wa watuMapenz bhana
TrueWee hujapata tuu mtu sahihi ukimpata mbona utasema mapenzi ndio kila kitu...yaani jamaa anakulenda mpaka unadata
Kwa hiyo watu wanakula mzigo wakijua kwenye mahari ndio exit door🤣🤣🤣🤣🤣Wameachwa wengi kwa style hio... Shukuru unapumua
Ya kimaku sana...ona sasa mdada wa watu
Mapenzi yakikuendea vizuri fresh ngoja mambo yavurugike ndio utajua hujui.Wee hujapata tuu mtu sahihi ukimpata mbona utasema mapenzi ndio kila kitu...yaani jamaa anakulenda mpaka unadata