mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
hizi ambulance chadema wamepewa misaada na wazungu nyingi ni used.
...
...safiiiii MAKAMANDA !!!
![]()
da we jamaa bana,unauliza lema katoa wapi pesa kwani unajua biashara zake zote?ok. tufanye kaiba ili anunulie watu wake ambulence hapo vp.Kuna angalizo au tuseme maangalizo matatu. Why now why Lema? Mbowe naye alicheleweshwa hivo hivo lakini baadaye TRA wakasema Mhe Mbowe alikataa ambulance kuandikwa jina la Halmashauri alitaka iandikwe jina lake. Hii consignee ni nani? Tatu, hizi ambulance niagahali sana kwa mtu mmoja aisye mfanyabiashara wala millionaire kama kina Mzee Ndesamburo. Lema kazipata wapi hizi hela, zimepita TRA, au mnamsingizia tu? Mwisho, CHADEMA ina msimamo wa kutochangia maendeleo ya serkal, hiyo ni kazi ya serkali. Kulikoni hapa, Mhe Tundu Lissu katengua msimamo wa Chama? William Marconi.
hizi ambulance chadema wamepewa misaada na wazungu nyingi ni used.
hako si katoyota hiace jamani ?
Zile Ambulance za maana kaziuza anakuja kutuletea hii taka taka? Godbless J Lema hata ufanyeje kura za hapana zinakuhusu october.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/537979-mh-lema-na-chadema-acheni-ulaghai.html
Hi hiace ya kijapan kuna zile mbili za ulaya alizopewa na watanzania wanaoishi UK alipeleka wapi? Lakin zinaonekana hapo Arusha.
Kaombe na we we! maccm yalishindwa kwa miaka 50 Lema kaweza ndani ya miaka 5
Jibu swali za uk ziko wapi??wakati zinaonekana arusha...unaambiw ukweli..jibuKaombe na we we! maccm yalishindwa kwa miaka 50 Lema kaweza ndani ya miaka 5
Rich kwa mapopompo wa chama kule arusha hii n.mpya..awajui ziko show rum bei rahisi tu zakumwagaHiyo hiace old model hata mimi siwezi kutumia they're very cheap cif $1500.
Profesa. . . .Lugha ya "kujitahidi" imetosha kwa kweli. . . Nadhani tunahitaji viongozi "wanaoweza" ili kuanza safari ya kuyafuata maendeleo ya kweli. . .