PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,458
Hatimaye Ambulance moja kati ya mbili za Mbunge wa Arusha Mjini kwa watu wake kama alivyowahi kuahidi imewasili Jijini Arusha baada ya kukwama bandarini kwa muda mrefu kwa masuala ya ushuru.
Ni rahisi kwa Serikali yetu kuexempt ushuru wa maV8 ya anasa za viongozi lakini watakomalia Ambulance kama hii... Labda kwa vile wahusika ni Team UKAWA.. Sijui?
Ni rahisi kwa Serikali yetu kuexempt ushuru wa maV8 ya anasa za viongozi lakini watakomalia Ambulance kama hii... Labda kwa vile wahusika ni Team UKAWA.. Sijui?